Hallo,JF,
Wadau naomben mawazo yen juu ya tatizo hili,
Nina mjomba wangu ambaye ana mke na watoto watatu wameishi kwenye ndoa huu sasa ni mwaka wa 4. Watoto hawa watatu waliowazaa ndan ya hii miaka wawil ni mapacha,
Hawa watoto mapacha wamekuw wakiugua mara kwa mara hali inayopelekea kulazwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.