Katika pitapita zangu naelekea Kigoma nimefika Kahama nikakuta jengo la ghorofa tano la NSSF ambalo linafanya kazi hadhi ya mkoa nikadhani kwamba office hizo mkoa mzima huwa wanaenda hapo
Baada ya kuwauliza wenyeji wakasema hapana Shinyanga Mjini pia kuna office nazo ni hadhi ya mkoa pia na wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.