Kwa wakazi wa Mwanza,Mimi ni binti wa miaka 24.....Naomba kwa yeyote anaejua wapi naweza pata kibarua japo kwa siku iwe kiwandani au sehemu yoyote ile anijulishe,sibagui Kazi!Natanguliza shukrani
Natafuta kazi kwenye shirika,taasisi au hata kwa mtu binafsi nina diploma ya uhasibu.Ila sibagui kazi hata ambayo haipo kwenye taaluma yangu nafanya!Nipo mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.