Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari, Ndugu wafanyabiashara wa peanut butter, unga wa lishe, karanga za kutafuna na n.k. nina mashine ya kukaanga karanga yenye uwezo wa kukaanga karanga zaidi ya kg 50 na pia nina mashine ya...
12 Reactions
17 Replies
254 Views
Ndugu Mtanganyika , usimkope ndugu yako hela kwa sababu kuna hatari ya kuharibu uhusiano wenu. Kukopa hela kwa ndugu kunaweza kusababisha migogoro na mvutano, hasa kama kuna tatizo la kulipa deni...
2 Reactions
6 Replies
104 Views
Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi. Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao...
5 Reactions
38 Replies
917 Views
Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo: 1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni...
22 Reactions
77 Replies
1K Views
Imekuwa ni jambo la kawaida sana Kwa shirika la utangazaji la TBC, kukata matangazo mbashara ya Bunge na kutuletea matangazo mengine. Kwa mfano hivi leo, weshakata mara mbili, matangazo mbashara...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari wana jamii forums [emoji1366] Let’s chat for fun boys and girls ukiulizwa muda mda huu body count yako inasoma ngapi utakuwa na kumbukumbu boys au girls wangapi umelala nao mpka sasa? For...
11 Reactions
89 Replies
2K Views
MJUMBE HAUWAWI. Nimepitia comment kwenye hii post... Wanaume wanamalalamiko mengi sana yenye tiija juu ya hoja hii.... Swali likanijia, je anaweza kufika Moshi na asifike kileleni? Nikaendelea...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Upinzani mpaka sasa haupo tayari kuungana kuikabili CCM na kuishinda, hawa ni kwa sababu ni wabinafsi na hawana ajenda ya Pamoja lakini pia hawana fedha, uchaguzi ni fedha. Lakini kwa maoni yangu...
11 Reactions
246 Replies
16K Views
Askofu Mwamakula amesema Waliohujumu na kuiba kura kwenye Uchaguzi mkuu wa 2020 hawatofautiani na wanaohujumu wenzao Katika Chaguzi Ndani ya Vyama Kama Chadema kitasahau machozi ya 2020 na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ni vyema timu ya wananchi ikajulishwa Kama kunakuwepo na makombe yanayoeleweka ili waende kuyabeba kwani wamethibitisha ubora wao kwenye eneo ilo! Timu kubwa siku zote inabeba makombe na timu...
8 Reactions
10 Replies
184 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,707
Posts
49,784,160
Back
Top Bottom