Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

My people how's weekend? Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari. Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya...
37 Reactions
351 Replies
5K Views
Uzi huu unaangazia kile kinachoendelea kuhusu mgogoro ulioibuka sasa wa NATO na Russia katika vita vya Ukraine. Ikumbukwe kuwa katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg, alitaka silaha za misaada kwa...
4 Reactions
9 Replies
250 Views
MAREKANI: Mahakama imeagiza Rais wa zamani, Donald Trump kumlipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bliloni 211, mwanamke aliyetambulika kama E Jean Carroll ambaye alimshtaki Trump kwa madai ya kumnyanyasa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu, Uzi huu ni kwa ajili ya kutaja miji midogomidogo ndani ya nchi yetu ambayo ina vibe kubwa kama miji mikubwa na ina fursa za kibiashara lakini haivumi wala kujulikana sana na watu. Mimi...
17 Reactions
126 Replies
3K Views
Shimo la mvuto liko katikati ya bahari kilomita 1,200 kusini-magharibi mwa Kanyakumari (a.k.a. Cape Comorin), ncha ya kusini kabisa ya bara Hindi karibu na Sri Lanka. Bahari ya Hindi Geoid Low...
7 Reactions
18 Replies
758 Views
Vijana Batch one tayari,Login kwenye account yako ya SIPA https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/heslb-unveils-first-batch-of-sh159-7-billion-loan-recipients-4408016?s=08
3 Reactions
751 Replies
60K Views
Hili jiji la arusha ambalo linasifika kwa utalii na ambalo lina historia nzuri ya kutoa wasanii, waigizaji na watangazaji maarufu, sifa zake kwa nje ni nyingi na nzuri sana. Ila kwa uhalisia...
18 Reactions
122 Replies
3K Views
Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl) Sehemu ya kazi -Dar es Salaam Majukumu yake -Kufanya usafi wa nyumba ya wastani -Kufua nguo za watu wawili tu -Kupika chakula cha watu wawili...
7 Reactions
63 Replies
719 Views
Achana na wazawa, nazungumzia waliohamia kutoka mikoa mingine, mmewezaje kuishi na kuwekeza mkoa wa TANGA?! 1. Miaka 60 ya uhuru watu wanatanguliza imani za hovyo hovyo kwenye mambo ya msingi na...
20 Reactions
126 Replies
13K Views
Itakumbukwa simba ndio walipeleka kibegi mlima kilimanjaro, walifika hadi kileleni, sisi tunaojua mambo haya tuliamini kabisa kuwa mwaka huu ulikuwa wetu, yalikuwa masharti ya mtalaamu wetu kuwa...
6 Reactions
18 Replies
541 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,382
Posts
49,773,450
Back
Top Bottom