Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna Propaganda mpya dhidi ya Waislamu. Wako wanaofurahia propaganda hizo. Wako wanaoamini propaganda hizo. Wako wanaolipwa kwa kuandaa propaganda hizo. Propaganda hivi zimaendezwa kwaa media...
1 Reactions
128 Replies
1K Views
Enzi za Nyerere huu Mwaliko ulikuwa ni wa Tanzania ila hizi zama za Utandawazi tunaalikwa kijumuiya zaidi Tuzidi kumuombea Rais Ruto akatuwakilishe vizuri na zikitokea fursa za kupeleka manjagu...
2 Reactions
10 Replies
135 Views
Kuna wanawake walikuwa na nguvu bwana. Achana na akina Wema Sepetu. Achana na akina Mobeto. Yaani hawa walikuwa wanamuamrisha rais nini cha kufanya. Unajua CIA walikuwa makini sana kwenye...
9 Reactions
50 Replies
1K Views
Sina kazi nashinda na simu muda wote Nipo nipo tu sina muelekeo wowote Nimemaliza Chuo mwaka Jana Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
10 Reactions
66 Replies
509 Views
Muhimu: usiweke porn Ukitaka ku enjoy zaidi lipia, vya bure vingi vina vikwazo, vimechuja, havina quality, n.k. Netflix - 10,000, hii ni bei ya vishoka, bei halisi ni 20K. A sports HD - 2,000...
0 Reactions
34 Replies
560 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna watu ni WAZALENDO kwelikweli,ni wasafi sana, ni waaminifu waliopitiliza,ni wacha Mungu na wenye Hofu ya Mungu sana na wana uchungu mkubwa Sana na Maisha ya...
13 Reactions
154 Replies
1K Views
Takriban kwa wiki tatu sasa jeshi la Israel limekuwa likipigana vita vikali vya mtaa kwa mtaa maeneo ya kaskazini ya Gaza. Mwishowe jeshi hilo lilitanga hapo juzi kuwa limedhibiti kambi yote ya...
1 Reactions
40 Replies
867 Views
Wakuu, Uzi huu ni kwa ajili ya kutaja miji midogomidogo ndani ya nchi yetu ambayo ina vibe kubwa kama miji mikubwa na ina fursa za kibiashara lakini haivumi wala kujulikana sana na watu. Mimi...
11 Reactions
57 Replies
1K Views
Kichwa hapo juu cha husika, huyu Mkurugenzi tangu Jumamosi iliyopita aliwaamuru watumishi hasa walimu kuchukua mafyekeo na majembe kwa amri na vitisho kwenda kusafisha makaburi siku ambayo si ya...
1 Reactions
91 Replies
1K Views
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia. Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe...
60 Reactions
679 Replies
50K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,159
Posts
49,766,657
Back
Top Bottom