Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wewe je? Kumbukumbu zako zimeanzia ukiwa na umri gani au tukuache kwanza? Wakuu msiwachukulie poa hawa madogo na msitende mambo hasi mbele yao ukidhani wanasahau mapema kuna umri ukifika mtoto...
1 Reactions
8 Replies
104 Views
Kuna Propaganda mpya dhidi ya Waislamu. Wako wanaofurahia propaganda hizo. Wako wanaoamini propaganda hizo. Wako wanaolipwa kwa kuandaa propaganda hizo. Propaganda hivi zimaendezwa kwaa media...
2 Reactions
215 Replies
4K Views
Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba. Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo...
20 Reactions
34 Replies
845 Views
Rais wa Iran afariki na nchi ya Iran yaweka siku 5 za maombolezi [1] vs Makamu wa Rais wa Malawi afariki na nchi ya Malawi yaweka siku 21 za maombolezi [2] Soma zaidi: 1. Iran yatangaza siku 5...
0 Reactions
3 Replies
48 Views
Tayari inefahamika kuwa Russia na China wameanza maandalizi ya ujenzi wa Kambi ya kijeshi ya kudumu katika visiwa vya Cuba ambavyo vipo umbali wa mile 90 kutoka pwani ya Marekani. Hii ni strategy...
11 Reactions
22 Replies
615 Views
Ni umri gani no mzuri kumtahiri mtoto?
3 Reactions
17 Replies
348 Views
Samahani jamani mimi ninalipwa mshahara wa 300k kwa mwezi nafanya kazi katika kampuni moja hivi . Lakini pesa hii haikai kabisa, yaan hapa nilipo sijui natakiwa kutumia shngp kama pesa ya...
0 Reactions
5 Replies
80 Views
Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai amesema kama kulikuwa na tatizo la kisera, ni mambo ya kujadiliwa bungeni. Sio mara ya kwanza kutokea sera zikawa na udhaifu au zinahitaji maboresho. Anasema Zitto...
13 Reactions
315 Replies
31K Views
Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂 Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke...
19 Reactions
55 Replies
2K Views
Eti wakuu? Majibu yawe mafupimafupi
1 Reactions
29 Replies
433 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,794
Posts
49,866,249
Back
Top Bottom