Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mohamed Kawaida amewataka vijana wa Chama hicho kukemea juu ya matumizi mabaya ya mtandao wa Twitter maarufu kama X nchini Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Viongozi wa dini waiomba serikali kuufungia mtandao wa kijamii wa Twitter ( X ) nchini kwani mtandao huo umeonekana ukivunja maadili na taratibu za nchi kwa kuhamasisha ushoga na usagaji...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
MSAMIATI UNAOTUMIKA KUMAANISHA ‘KUJAMBA’ AU ‘KUTOA USHUZI’ NI: 1. Fart: Hili ndio neno linalotumika sana. Huweza kutumika kwenye mazingira rasmi na yasiyo rasmi (Formal and Informal settings)...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu kichwa cha thread kinajieleza,najua humu kuna maadmin na masubadmin au wenye links za magroup mbalimbali wekeni hapa watu wajiunge baccc maana kama mimi najaribu kutafuta movies nyingi...
1 Reactions
9 Replies
47 Views
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika...
5 Reactions
47 Replies
601 Views
Wana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena? CCM oyeeee!
0 Reactions
25 Replies
279 Views
dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana...
1 Reactions
4 Replies
45 Views
Raia wanapiga kelele pesa zinakwapuliwa na Abdul. Anahonga wapinzani, Yeye kaziba masikio. Hii imekaaje?
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Rais Samia amekiri kusikia kelele na matusi ya watanzania juu ya sera zake na uongozi wake. Lakini amesema ameamua kujifanya kuwa kama "chura kiziwi" mpaka dhamira yake na lengo lake la...
17 Reactions
87 Replies
1K Views
MTAA WA JOHN RUPIA TANGA Moja ya vibao vingi vya Mtaa wa John Rupia kipo pembeni ya Msikiti Ngazija, Tanga. Nimefikia hoteli jirani na kwa hakika ni mkabala na msikiti huu na ndiyo nikabahatika...
0 Reactions
3 Replies
99 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,368
Posts
49,855,769
Back
Top Bottom