Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

A
Anonymous
Mim ni mmoja wa wahanga katika kukopa mkopo katika taasisi ya fedha ya kukopesha inayoitwa Bayport Financial Service ambapo ni mwezi sasa toka nilipoomba mkopo mpaka rejesho la kwanza limefanyika...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Itakumbukwa simba ndio walipeleka kibegi mlima kilimanjaro, walifika hadi kileleni, sisi tunaojua mambo haya tuliamini kabisa kuwa mwaka huu ulikuwa wetu, yalikuwa masharti ya mtalaamu wetu kuwa...
2 Reactions
7 Replies
160 Views
Wakuu heshima yenu, Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote. Kilichonileta...
3 Reactions
60 Replies
1K Views
A
Anonymous
Mimi ni Mkazi wa Ifakara Mkoani Morogoro, nina kero moja ambayo naona kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele mambo yanazidi kuharibika, bora niseme hapa kupiti JF ili ujumbe uwafikie wahusika...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
ON SALE (EES) - Price 23.7ml 0768160670 👑 CROWN ATHLETH 🆕✔️ MODEL KALI SANA Color 🖤 BLACK MWAKA * 2009* Engine 2490CC Low mileage 55000 New tyre Clean sana 0768160670 EXCHANGE ALLOWED
0 Reactions
0 Replies
1 Views
A
Anonymous
Hapa mtaani kuna mama mmoja anaitwa Mama Nancy amemuajiri mtoto ambaye kwa umri sina uhakika lakini nahisi ana umri wa miaka 9 au 10, ameajiriwa kama house girl. Kibaya zaidi Mama Nancy amekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hukumu ya kihistoria imetolewa katika mahakama za huko America, Kwa Rais mstaafu wa nchi hiyo, Donald Trump, kukutwa na hatia Kwa makosa 34 ya jinai, aliyoshitakiwa nayo. Hiyo inamfanya Donald...
4 Reactions
18 Replies
556 Views
Sababu alizotaja Mwakinyo Captain anatafutiwa dola Captain hapatikani kwenye simu Captain hajafika uwanjani Pia soma: Pambano la Mwakinyo laahirishwa, mkanda uliokuwa unapiganiwa haukuletwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
Hello 👋 Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine...
14 Reactions
151 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,069
Posts
49,764,398
Back
Top Bottom