Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wapendwa. Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife. Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta...
5 Reactions
79 Replies
2K Views
Kumekuwa na kelele mitandaoni kuwa Jude Bellingham anastahili kutwaa tuzo ya Ballo d’or Msimu huu kwenye Uefa kuanzia hatua ya mtoano mpaka Madrid wanabeba taji sijaona mchango wake walau hata...
10 Reactions
40 Replies
1K Views
Wakuu Nimeskia sana telesi kuwa kutakuwa na swap deal kati ya yanga na mazembe Means musonda kwenda Congo na baleke aje yanga .. Huu usajiri kwa kweli tunaenda kupigwa kama kweli, pakubwa sana...
1 Reactions
10 Replies
84 Views
https://www.youtube.com/live/N5UQz7YOdMQ Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam...
1 Reactions
2 Replies
59 Views
Kioo na battery kwa ajiri ya Sony hio kwenye picha vinahitajika. Mwenye navyo aniambie
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimekuwa mfuatiliaji mwezi mzima nimeona na mie nijiunge, rasmiii. Naombeni mnikaribisheee jamani.
5 Reactions
25 Replies
157 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar, bwana Chalamila akiwa Ikulu leo amesema ukijiona una miaka 40 au zaidi na huna hela usimlaumu Rais kwani unakuwa umezaliwa wakati wa Mwalimu na katikati vimepita vipindi vingi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
YouTube blogger amekuwa anawauliza raia wa Nigeria swali,kwamba kama inatokea fursa ya kupewa Uraia wa kudumu wa Tanzania au Kenya,watapenda kuishi Nchi gani? Jibu la wengi ni kwamba Watachagua...
0 Reactions
35 Replies
207 Views
Wakuu kwema? Hivi Tamaduni Music ilianza mwaka gani na mwaka gani ikawa imekufa (japo sina hakika ndio maana nauliza)? Kama ilikufa nini chanzo cha Tamaduni kufa? Muanzilishi alikuwa nani wa...
0 Reactions
3 Replies
40 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,167
Posts
49,851,260
Back
Top Bottom