Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari zenu wakuu hapa kati na kakazi hapa posta nafanya Yaani unakutana na kabinti kazuri kanakusalimia shikamoo Wale wazee wanajibu salama za kwako, hivi mmelogwa Mi kijana naitikia marahaba...
2 Reactions
12 Replies
74 Views
Naziona vitu vipya kabsaa mtaani na mm Nina shida Kweli ya usafiri ningepata hyo pikipiki hakika itanisadiaa kwenye mambo yangu mengi snaa. Ama hakika mam anafanya Kaz kubwa sna kuliongoza taifa...
3 Reactions
22 Replies
161 Views
Kitu gani hukufanya ujiskie kero au ujiskie vibaya ukiwa humu jukwaani, achilia mbali maoni na mitazamo tofauti na yako kutoka kwa miongoni mwa wana JF 🐒
4 Reactions
81 Replies
455 Views
Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini. Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul...
0 Reactions
12 Replies
124 Views
Habari wapendwa. Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife. Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta...
4 Reactions
35 Replies
386 Views
Kama haujawahi kukutana na matatizo basi unaweza kushangaa hili, watu wanamatatizo ndugu zangu. Nina ndugu yangu ni mtoto mdogo tu kama unavyojua tena maisha ya vijijini mabinti huolewa mapema...
28 Reactions
80 Replies
4K Views
Huyo ni mwalimu hapa Mang’ula kauawa kikatili na mkewe kapigwa na kitu kizito kichwani ubongo ukamwagika. Ni ukatili mkubwa na lengo lake awe huru kujivinjari na kijana wa nje ambaye ni Bodaboda...
9 Reactions
300 Replies
4K Views
Namshukuru Mungu leo nimetimiza miaka 23. Long may I reign.
12 Reactions
120 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kujenga chama, kueneza chama ,kuongeza wanachama na wafuasi,kupata kura za ndio kutoka kwa watu inahitaji akili, umakini,sera,ajenda zenye kugusa maisha ya watu. Inahitaji...
-2 Reactions
90 Replies
692 Views
Taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali kutoka nchi za kiarabu ambazo hazijathibitishwa zinasema Mohammed Deif ([emoji1193]Hamas's chief of staff ) ameuawa katika operesheni maalum iliyofanywa n...
16 Reactions
155 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,865
Posts
49,844,016
Back
Top Bottom