Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi. --- Ajali ya ndege Malawi, makamu wa rais Saulos Chilima na maofisa 9 wasakwa tangu saa 3...
7 Reactions
99 Replies
3K Views
Yes!, nyinyi ni viumbe wenye roho ngumu na ujasiri mwingi sana. Tumeonana sikumoja, tukapeana namba, tunapiga stori mwezi mzima kwenye simu tu, hunijui kiundani namimi sikujui, tunayajenga alafu...
11 Reactions
115 Replies
6K Views
Kino Yves, Ni mfaransa anaezunguka nchi mbali mbali, kwa Adrica alianzia Misri, Sudani, Ethiopia, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na sasa yupo kwetu kaelezea vizuri historia ya Tanzania mwanzoni...
0 Reactions
15 Replies
408 Views
Waumini wengi wa zinazoitwa dini mbili kubwa za Tanzania kuna mambo kadhaa inabidi mbadilike kuendana na mabadiliko ya wakati. 1. Kusalimia kila mtu "salameleko" Sijawahi kuelewa sababu za baadhi...
8 Reactions
32 Replies
416 Views
Wasalaam hizi namba 0696447569 0695263962, 0742696669,0683374286, 0696447567, 0719249958. Ni watu wanaodai wao ni wakusanyaji madeni wa hizi online financial services ambazo zinatoa huduma za...
0 Reactions
1 Replies
36 Views
Wameanza kwa mbwembwe kama hivyo na ndugu zetu upinde wamepata kipaumbele namna hiyo Website ya AppleBETA iko busy naona soon wale wa dev beta mzigo utakua hewani IOS 18
1 Reactions
7 Replies
102 Views
Habari madaktari wetu! Mgonjwa amepata uvimbe kwenye viungo (Swollen lymph nodes) Mitaani huwa kuna imani kuwa mgonjwa akishafikia hatua hiyo ndiyo dalili za mwisho za kufariki. Je ni kweli? au...
7 Reactions
27 Replies
369 Views
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka? Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CDM, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais...
3 Reactions
24 Replies
180 Views
Ndugu Wanajamvi, Ninawaletea mjadala wenye uzito wa kielimu na kifikra kuhusu maendeleo mapya katika teknolojia ya uzazi wa mpango kwa wanaume. Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mjadala...
3 Reactions
81 Replies
691 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,982
Posts
49,846,976
Back
Top Bottom