Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ukiachana na ZANZIBAR kuna mtanzania bara ambaye anamkubali Samia? Nauliza maana mara ya mwisho kwenye utafiti mtandaoni alipata asilimia 3% katika marais wote wanaokubalika!! Tunapitia kipindi...
1 Reactions
7 Replies
46 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
523K Replies
30M Views
Nimeanzisha huu uzi kutokana na hali ya ubachelor nayoipitia, sometimes mambo yananyooka ila wakati mwingine yanakua nisivyotarajia mabachelor mnakaribishwa tupeane experience za maisha ya ubachelor
8 Reactions
78 Replies
628 Views
Leo ndio usiku ambao wanamichezo mbalimbali Tanzania watapewa tuzo katika shughuli inayoendelea Sasa hapa ukumbi wa the Dom Masaki. Mgeni rasmi ni Kasim Majaliwa na MC ni msemaji wa Azam NB Nje...
2 Reactions
84 Replies
1K Views
Kiwango cha hofu na woga kwa watu kinapanda kwa kasi sana siku hizi! Iko haja kamati za ulinzi na usalama kila mtaa kufanya kikao! Kiwango cha wanaokojoa kwenye mazururu (makopo) kimeongezeka...
7 Reactions
38 Replies
4K Views
Sababu kubwa ya mahusiano mengi kutokufika mbali watu Wana force kubadilishana tabia kwa haraka Jambo kubwa na la muhimu watu wanalopaswa walitambue . Katika mahusiano unakutana na mtu ukubwani...
3 Reactions
18 Replies
205 Views
Mkaka upo madhabahuni anamvalisha pete mdada huku umepiga goti, huna uhakika kama mtaishi pamoja hadi kifo kiwatenganishe. Hivi huo ujasiri huwa mnautoa wapi?
8 Reactions
212 Replies
1K Views
Bodi ya Chuo Kikuu cha Howard, kihistoria kinachotambuliwa kuwa chuo kikuu cha watu weusi huko Washington DC, imeazimia kumvua Sean "Diddy" Combs shahada yake ya heshima. Tangazo hilo linakuja...
1 Reactions
7 Replies
519 Views
Assalam aleikyum guys Nipo kwenye wakati mgumu na mama mwenye nyumba ananitegatega kinoma ni mke wa mwenye nyumba na bwana ake ana hela za kutosha ila ndo hana muda na familia ake ye mitungi...
3 Reactions
14 Replies
155 Views
Waziri wa Ardhi Jerry Silaa amewapiga marufuku wenyeviti wa mitaa na Vijiji kuuza Ardhi na kwamba kuanzia Sasa kazi hiyo itafanywa na Afisa Ardhi na Kampuni za Upimaji tuu. Aidha bwana Silaa...
23 Reactions
104 Replies
8K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,749
Posts
49,840,007
Back
Top Bottom