Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari zenu wapambanaji Leo niko mbele yenu kutaka ushauri wa kimawazo kutoka kwenu ndugu zangu. Niko kwenye mpango wa kuingia kwenye kilimo kwa kumanisha hasa. Nina bajeti ya kiasi cha Tsh. 5M...
1 Reactions
21 Replies
177 Views
Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake. Kutokana na uelewa, experience na...
2 Reactions
30 Replies
79 Views
CEO of MWANANCHI Communications Ltd (MCL), the largest print & digital content company in Tanzania 🇹🇿. Experienced Managing Editor with a demonstrated history of working in the media production...
2 Reactions
8 Replies
117 Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
230 Reactions
402K Replies
33M Views
Kutokana na malezi ya kisasa na mifumo ya kisasa ya maisha ile kanuni ya mtii mwanaume wako kwa wanawake wa kisasa ni kitu ambacho hawakielewi kabisa wala kujua maana yake wakiwa katika umri wa...
23 Reactions
131 Replies
2K Views
Miaka ya 2000 kulikuwa na wanamuziki wanne wenye majina makubwa ambao hao waliamua kuwaita kwa jina la Big Four yani Jay Z, Nelly, DMX na Eminem. Huyu jamaa unayemuona kwenye picha aliibuka tu na...
2 Reactions
14 Replies
302 Views
Chama cha wafugaji kibiashara(Tanzania commercial cattle society) kimeandaa maonesho makubwa ya mifugo na mnada yatakayoanza tarehe 14-16 juni 2024. Yatafanyika katika shamba la Mbogo ranches...
1 Reactions
3 Replies
47 Views
Mateka 4 waliotekwa na Hamas mwaka jana wameokolewa Leo na Jeshi la Israel Source BBC
6 Reactions
42 Replies
825 Views
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amepiga marufuku nchi zima mabango yaliyozagaa mitaani ya kuuza viwanja maarufu viwanja vinauzwa na ametoa siku 7 kwa maafisa ardhi...
5 Reactions
10 Replies
302 Views
Mheshimiwa Dr Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
3 Reactions
41 Replies
829 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,390
Posts
49,828,600
Back
Top Bottom