Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari za asubuhi wadau Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja. Ni...
6 Reactions
206 Replies
2K Views
Nimeshitushwa sana na tetesi za binti Gonzalez kuhamia Yanga na imenipa maswali fikirishi ambayo yamenifanya NALIA NGWENA nije kushea na wajuzi jamvini. 1/ je vile vijembe Babra Gonzalez kule...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu. Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka...
4 Reactions
80 Replies
543 Views
Hii ni akaunti ya twitter ya mh. Lema. Anapata wapi ujasili wa kuwaita hawa wa mama wasagaji Tanzania Leaks @TanzaniaLeaks · Jun 7 BREAKING: Ni swala la aibu kubwa sana kwa Rais kutumia vibaya...
1 Reactions
5 Replies
337 Views
MAENEO YA BAHARI YANAYOHIFADHIWA NA MPRU Hivi sasa, kuna Maeneo Tengefu ya Bahari 18 ambayo yanadhibitiwa na Serikali ya Tanzania kupitia Kitengo cha Hifadhi za Bahari. Maeneo haya ni pamoja na...
1 Reactions
2 Replies
32 Views
Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza. Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea...
3 Reactions
45 Replies
1K Views
Natokea kanda ya ziwa ambayo ni asili yangu,jinsia ni mwanaume niko na familia (mke na watoto). Nawashkru wazi walinilea inavyopaswa na kuna kipindi niliwachukia kwa adhabu walizokuwa wananipa...
2 Reactions
6 Replies
90 Views
NUKUU “Nimepata taarifa kuwa kisiwa chetu cha Mafia kilichopo Tanganyika kinapigwa bei (kinauzwa). Naomba tuendelee kufuatilia na kupiga kelele,”… Dokta Willibrod Slaa...
12 Reactions
131 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi...
0 Reactions
24 Replies
108 Views
Naomben ushaur nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa ni mtu wa kondoa ni mrembo sana...
13 Reactions
102 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,440
Posts
49,830,330
Back
Top Bottom