Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Natamani some days itokee timu nyingine pale nafasi ya 1 na ya 2 isiwepo SSC wala Yanga, tukifika hiyo hatua ni wazi kuwa ligi yetu itakuwa ni bora. Timu kama Li SSC , sajili za mchongo, scouting...
1 Reactions
3 Replies
138 Views
Ule msemo wa kizuri huonekana baada ya kutoweka ulifaa sana kwa kipindi hiki cha awamu ya 6. Kipindi cha uongozi wa Magufuli kwakweli nilimchukia sana Makonda. Ila baada ya Magufuli kuondoka...
12 Reactions
41 Replies
531 Views
Kuna Mabalozi wengi sana wa Mataifa mbalimbali ambao wanawakilisha Mataifa yao hapa Tanzania. Lakini baadhi ya Mabalozi wanafanya kazi nzuri iliyotukuka kushinda Balozi zetu. Baadhi ya hao ni...
2 Reactions
10 Replies
213 Views
Peace, Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho...
21 Reactions
44 Replies
921 Views
Katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amezitaka nchi za NATO kuipa silaha Ukraine ili ishambulie ndani ya mipaka ya Russia hasa military targets. Mpango huu umekuja baada ya Ukraine kutembezewa...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
18 Reactions
198 Replies
5K Views
Mheshimiwa Makonda, Salaam. Nataka nikupe pongezi zangu za dhati kwa kasi ya utendaji wako na jinsi unavyo lipigania taifa la Tanzania. Kuna watu wanafikiria tofauti na unavyo fikiria wewe. Wewe...
18 Reactions
54 Replies
1K Views
Watoto wadogo ukiwauliza kwamba ukiwa mkubwa unataka kua nani? Utasikia vitu vingi sana ila ngoja akue sasa akutane na mwalim Dunia, wee utamkuta anachoma mkaa. Story ya watoto inafanana na ya...
4 Reactions
6 Replies
53 Views
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake...
11 Reactions
102 Replies
1K Views
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya...
29 Reactions
1K Replies
80K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,018
Posts
49,735,676
Back
Top Bottom