Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wana Jukwaa, Nataka kushiriki nanyi kisa changu. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana, lakini kulikuwa na tatizo kubwa—hakuwa mwaminifu. Alikuwa akiendekeza wanawake wa nje ya ndoa...
3 Reactions
17 Replies
439 Views
Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza. Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea...
2 Reactions
8 Replies
9 Views
Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja. Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga...
5 Reactions
64 Replies
498 Views
Live kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha...
18 Reactions
67 Replies
2K Views
Salaam, Shalom!! Kila Kona ya nchi yetu Kwa sasa, dollar imekuwa mtihani, hazipatikani hata Kwa tochi, Mfanyabiashara mwenye pesa za kitanzania, akienda benki kubadili Tshs Ili apewe USD Kwa...
8 Reactions
35 Replies
421 Views
Na Bwanku M Bwanku Kagera ni moja ya mkoa wa kilimo na mazao mbalimbali yanalimwa. Kwasasa ni msimu wa zao la kahawa ambalo ni moja ya zao linalolimwa. Toka Tanzania ianze, bei ya zao la kahawa...
1 Reactions
8 Replies
254 Views
Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake. Mwanamama...
20 Reactions
64 Replies
8K Views
Nimewiwaaa kuuliza hili hivi majuzi nilinunua gb 1.4 Gafla nkashangaaa siku mbili siwezi fungua website wala chat na WHATSUP nkasema isiwetaabu nikavuta niwezeshe nkachungulia asbh Nkawa na...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Habari za jioni ndugu zangu, NATUMAINI MUWAZIMA WA AFYA. Msaada kidogo. Naombeni mwenye video ya Nako 2 nako HAWATUWEZI ft Enika. YouTube kwa sasa haipatikani,Mwenye nayo labda anayo hata kwa...
1 Reactions
14 Replies
245 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,364
Posts
49,827,768
Back
Top Bottom