Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Imefikia kipindi nikiona tu sio wewe unayesoma taarifa ya habari basi naondoka au nabadilisha channel. Na nilivyo mgonjwa wa big nyashi, sehemu muhimu zaidi kwangu ni pale unapogeuka na kutembea...
18 Reactions
89 Replies
905 Views
Habari zenu, Leo nilikuwa Mloganzila hospital. Nimeshuhudia mgonjwa analazimishwa mgonjwa kufanya usafi na muhudumu wa USAFI pale hospital, kisa ilikuwa ni mgonjwa aliingia na mtoto wake chooni...
1 Reactions
2 Replies
70 Views
  • Suggestion
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Kwa kujifunza...
3 Reactions
9 Replies
306 Views
Wiki hii nimekua nafatilia sana pages za madalali wa magari, Kuna gari ya ofisi nataka kununua kutokana na bajeti nimeamua nianze na used kwanza, sasa hao madalali yaani ni vichekesho tu "Gari ya...
24 Reactions
29 Replies
741 Views
Kuna clip inasambaaa DC kafunga sijui danguro la Riverside. Ajabu katangaza bar zilizo karibu na danguro zifungwe. Hizi bar zinalipa vibali vyote manispaa na TRA. Kuna kiki za kulazimisha zisizo...
9 Reactions
39 Replies
850 Views
NI KIJANA MMOJA AMENISIKITISHA SANA UMRI WAKE NA JINSI ÀLIVYO .ANYWAY ALIKUWA ANATOA USHUHUDA KWA MWAMPOSA ANAMSHUKURY MUNGU POMBEE KAACHA SIGARA KAACHAAA BANGI KAAACHA BADO KIMOJA... KIPI...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Naomben ushaur nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa ni mtu wa kondoa ni mrembo sana...
5 Reactions
37 Replies
464 Views
Salaam, Shalom, Wote tunafahamu kuwa uagizaji wa mafuta Kwa Mfano, Huwa mafuta yanapopakuliwa Kutoka kwenye meli, Huwa Lita zinafahamika na Kodi ya Serikali Huwa tayari inajulikana. Kiwanda Cha...
3 Reactions
30 Replies
290 Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
152 Reactions
13K Replies
4M Views
Mazingira yanayowapa kipaumbele wanawake - Marekani / Ulaya mwanamke anatukuzwa sana, Huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni kesi ni domestic violence, Mnaweza kulewa wote...
8 Reactions
22 Replies
743 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,160
Posts
49,821,654
Back
Top Bottom