Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Good morning members. "Kua uyaone".Ni maneno aliniambia marehemu mama yangu.Na kweli nayaona leo.Mimi nguva jike napambana wanangu wasiteseke siku za usoni. Nimenunua kijiko cha...
12 Reactions
25 Replies
445 Views
=== Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania. Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo...
19 Reactions
115 Replies
1K Views
Taiwan's missile launchers would last ~5 minutes after being detected. Even if they get to launch, they'll be detected & immediately destroyed by PLA air assets with PGMs. So single use...
2 Reactions
3 Replies
263 Views
VIGOGO watatu ambao ni watu wa Karibu sana na Rais Samia wote wamefurushwa Ikulu siku ya jana ambao ni Mshauri wa Rais Sheria, Mshauri wa Rais Siasa na Mshauri wa Rais Habari na Mawasiliano...
1 Reactions
5 Replies
222 Views
Nyumba Inauzwa. Ipo Vingunguti kituo msikitini karibu na Tabata Barakuda. Ina Vyumba vinne(4), hakuna master bedroom. Eneo: Sqm 135.73 Nyaraka: Ina leseni ya makazi. Bei: Milioni 75 Karibu...
2 Reactions
14 Replies
127 Views
Hello! Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara. Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine...
12 Reactions
49 Replies
988 Views
Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki...
10 Reactions
111 Replies
2K Views
Leo kuanzia saa 4 kuna mechi nyingi sana za WC Qualifiers zinachezwa, kwa ngazi ya makundi. Sisi tulitakiwa tucheze na Elitrea Jumatatu tar 3 ila ilihairishwa. Hadi sasa mechi zilizopo: Guinea...
2 Reactions
6 Replies
226 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
522K Replies
30M Views
Habari WanaJamiiForums Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi. Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini...
12 Reactions
121 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,060
Posts
49,818,302
Back
Top Bottom