Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Soko ni sehemu inayotakiwa kutunzwa na kuheshimiwa sana, ni sehemu ya kibiashara na hasa sehemu tunapopata mahitaji yetu ya chakula kwa tulio wengi. Kwa mji mdogo wa Marangu kuwa na soko lenye...
2 Reactions
9 Replies
318 Views
Hapo zamani za kale katika Nchi ya Mashariki ya mbali, Nchi iliyobarikiwa mito, maziwa, ardhi kubwa na yenye rutuba, Palitokea Malkia mmoja aliyefahamika kwa jina la Sama. Malkia huyu alipenda...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya. Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Marekani / ulaya kuna ajira nyingi sana, kupata pesa ni juhudi zako tu, ni kawaida kukuta mtu anafnya kazi za kipato cha chini zisizohitaji elimu ya chuo kwenye godown analipwa elf 40 kwa saa...
3 Reactions
18 Replies
347 Views
Wakuu salama? Nadhani mmeona mkeka wa mama, Zuhura Yunus kaondolewa kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu mpaka kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye...
6 Reactions
114 Replies
6K Views
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha...
31 Reactions
64 Replies
1K Views
Habarin wa JF natumaini mko powah kabisa Huyu fundi simu amenishangaza sana mpaka nimeona nilete uzi huu kwa wale wahanga wa simu mbovu mnao shinda kwa mafundi iko hivi mimi nina jamaa yangu...
10 Reactions
95 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus pamoja na viongozi wengine wa Serikali wanazungumza na waandishi wa Habari Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 6, 2024...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
Nyumba Inauzwa. Ipo Vingunguti kituo msikitini karibu na Tabata Barakuda. Ina Vyumba vinne(4), hakuna master bedroom. Eneo: Sqm 135.73 Nyaraka: Ina leseni ya makazi. Bei: Milioni 75 Karibu...
1 Reactions
4 Replies
23 Views
Hello Good afternoon all, Elina Tarkazikis anasema Artificial Intelligence (AI) inaweza kukupa majibu mengi mno hata yale usiyoyahitaji au kuyapenda. Anasema Artificial Intelligence Calculator...
0 Reactions
5 Replies
86 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,048
Posts
49,817,981
Back
Top Bottom