Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Inakuwaje wanaJamiiForums Kama ilivyo tamaduni yetu WanaJf kushea experience lengo ikiwa ni kuhamasishana kujenga familia, kupeana moyo n.k. Je, mtoto wako wa kwanza ulimpata kwa bahati mbaya au...
7 Reactions
71 Replies
1K Views
Kama unabisha azima simu kwa waislamu watano wanaopenda kusikiliza nyimbo, lazima tu utakutana na kwaya kadhaa, Kwa upande wa wakristo Kati ya 100 hutapata qaswida hata mmoja, Kati ya harusi 100...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mazingira yanayowapa kipaumbele wanawake - Marekani / Ulaya mwanamke anatukuzwa sana, Huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni kesi ni domestic violence, Mnaweza kulewa wote...
9 Reactions
26 Replies
793 Views
Ni umri gani no mzuri kumtahiri mtoto?
0 Reactions
5 Replies
15 Views
Wasalaam, Hii inaumiza sana, hivi majuzi mdogo wangu alinipigia simu akilia kwamba pesa ya boss wake imeibwa kupitia simu. Akiwa angalia anasema kutoka kwenye Akaunti yake namba...
11 Reactions
110 Replies
3K Views
Wakuu kuna biashara nimefungua sehemu lakini unashinda siku nzima hujauza hata mia. Location ni nzuri ni karibu na center kubwa kabisa. Hizi fremu watu hawakai huwezi kuta mtu amemaliza haya...
2 Reactions
25 Replies
487 Views
Kuna mwanamke furani ivi ni mwanamke wa ndoto zangu nampenda na yeye ananipenda ila cmwelewi kwenye cmu kasevu mpenzi mwingne alaf kdume nkajijua ndo mimi kumbe cyo kudadadeki, ivi inakuaje hawa...
2 Reactions
58 Replies
10K Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Huko Singida Mjini kumepangwa kufanyika Mkutano wa Hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu 8/6/2024, kwenye viwanja vya Stendi ya Zamani...
3 Reactions
30 Replies
584 Views
Salaam, Shalom, Wote tunafahamu kuwa uagizaji wa mafuta Kwa Mfano, Huwa mafuta yanapopakuliwa Kutoka kwenye meli, Huwa Lita zinafahamika na Kodi ya Serikali Huwa tayari inajulikana. Kiwanda Cha...
3 Reactions
33 Replies
312 Views
Mfumo wa Ajira Nchini kwetu umeshindikana kabisa hasa kwa tusio na Koneksheni kabisaa! Mfano: nimewahi kuitwa kwenye interview nyingi tu za serikalini ila zote zinafanywa kwa ushahidi tu ili wale...
6 Reactions
32 Replies
776 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,167
Posts
49,821,768
Back
Top Bottom