Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nchi nzima kama sio dunia nzima kwa sasa kilio kikubwa ni vijana kudai hawana "connections" za kupata malisho mazuri. Connections za ajira, biashara au hata ufadhili wa masomo. Mimi nimejitolea...
3 Reactions
14 Replies
395 Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
152 Reactions
13K Replies
4M Views
AFRIKA KUSINI: Chama Tawala cha African National Congress (ANC) kimekubali kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kupoteza idadi kubwa ya viti vya Ubunge. Akitoa taarifa hiyo baada ya Kikao...
1 Reactions
2 Replies
24 Views
Mwanamke mmoja Raia wa Kenya ajulikanaye kwa Jina la Beatrice Mutuku asimuklia yaliyomkuta Nchini Saudi Arabia alipoenda kufanya kazi za ndani, Beatrice anadai kwenye nyumba hiyo aliyokuwa...
6 Reactions
54 Replies
1K Views
Habari WanaJamiiForums Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi. Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini...
9 Reactions
68 Replies
1K Views
Good morning members. "Kia uyaone".Ni maneno aliniambia marehemu mama yangu.Na kweli nayaona leo.Mimi nguva jike napambana wanangu wasiteseke siku za usoni. Nimenunua kijiko cha...
2 Reactions
2 Replies
8 Views
Wasalaam, Hii inaumiza sana, hivi majuzi mdogo wangu alinipigia simu akilia kwamba pesa ya boss wake imeibwa kupitia simu. Akiwa angalia anasema kutoka kwenye Akaunti yake namba...
11 Reactions
97 Replies
3K Views
I won't invest in Ghana again, DDEP taught me a lesson - CDD's Asiedu Sarpong...
0 Reactions
1 Replies
28 Views
Leo nimeona nishare hii story yangu. Ilikuwa hivi, nilivomaliza chuo nilibaki Dar nikipambana na life. Ndani ya muda kidogo nikapata job bana, mshahara si haba. You can imagine umetoka chuo kwa...
67 Reactions
81 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, Hivi mshajua nyie wanawake kwamba ni dhaifu kwa wanaume? Hamna ujanja wala akili ya kumkataa mwanaume hata uwe na nyodo au mzuri kama Cleopatra. Nyie wanawake ni Urithi...
10 Reactions
45 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,926
Posts
49,814,984
Back
Top Bottom