Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki...
5 Reactions
19 Replies
296 Views
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa...
20 Reactions
144 Replies
5K Views
Nawasalimu wote. Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU. Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni...
5 Reactions
132 Replies
2K Views
👉WAISLAMU 🕌husema UKRISTO ni DINI ya UONGO✔️ 👉WAKRISTO ⛪husema UISLAMU ni DINI ya UONGO.✔️ SASA MIMI NAKUBALIANA NA WOTE KWAMBA UISLAMU🕌 na UKRISTO⛪ Ni DINI za UONGO✅ Watu wengi ukiwauliza...
0 Reactions
1 Replies
26 Views
Chato ni sehemu ya Tanzania kama ilivyo Rombo na Bomag'ombe. Kwa nini Makamanda wenzangu mnaichukia Chato? Hi ni moja ya great and tremendous development tuache chuki bana. CCM wanapiga kazi 👇...
3 Reactions
11 Replies
246 Views
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi wa Jamii kuwaita na kuwahoji wakurugenzi wa mifuko ya hifadhi za jamii nchini kuhusu madai ya kuwataka wanufaika...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha...
10 Reactions
281 Replies
2K Views
Habari wadau, Nilipokuwa Tanga, niliona mnara wa saa uliojengwa kipindi cha ukoloni wa Kijerumani (1901) na umekarabatiwa mwaka 2022 na watu watatu; 1. NGO inayoitwa Tanga Development...
2 Reactions
2 Replies
140 Views
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu. Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa...
16 Reactions
77 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,362
Posts
49,799,807
Back
Top Bottom