Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nina ndugu yangu kapata matokeo haya HIST-D GEO-C BIO-C ENGL-D CIV-C CHEM-C LITE-D KISW-C MATH-D Amepata Division III Point 23 hajasomea PHYSICS na amepangiwa chuo cha Human Resources Management...
3 Reactions
30 Replies
199 Views
Habari JF, Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi na kusoma Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania...
37 Reactions
203 Replies
11K Views
Takribani mikopo yote inayotolewa kwa watu binafsi, taasisi au nchi huwa na masharti. Pamoja na kwamba masharti hayo kukubaliwa na pande zote za mkopo husika (Mkopeshaji na Mkopaji), masharti hayo...
2 Reactions
15 Replies
16 Views
This guy Luhanga Mpina Ningependa kujua huyu jamaa ana impact gani hadi kila muda atawale humu JF.
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Habari za wakati huu. Jana tumeshuhudia mpira mzuri kutoka kwa timu zetu mbili bora zinazoenda kuwakilisha kimataifa CAF Champions League Msimu Wa 2024/2025. Young Africans aliibuka mshindi...
5 Reactions
16 Replies
579 Views
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu. Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu. Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba...
21 Reactions
104 Replies
3K Views
a) Moderator naomba mnilinde b) Ndugu salam sana. Ni kweli gharama na juhudi kubwa zimefanyika kwenye setting na dashboard ya Jf, pamoja na mambo mengine mengi kiasi cha kuibadilisha JF kutoka...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Simba ni Azam B. Narudia tena, Simba ni Azam B. Inasemekana, mwenye njaa hachagui chakula. Kumbe, hata timu isiyo na taji, hilazimika kujishikiza popote. Ona sasa, Simba wanavyohangaika. Mara oh...
3 Reactions
9 Replies
140 Views
French President Macron to announce: "Europe is at war with Russia" on June 6 JUNE 02, 2024 June 6 will be a landmark day for the whole of Europe. France will officially make the first...
10 Reactions
80 Replies
3K Views
Hivi umegundua watoto wengi siku hizi ni wagumu sana kusalimia mtu. Yani wamjue, wasimjue, ni mpaka mzazi amwambie salimia anko, salimia anti. Bila hivyo! Vinauchuna kama kichuguu. Morals...
10 Reactions
47 Replies
201 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,005
Posts
49,791,002
Back
Top Bottom