Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamua waumini michango hadi wanachukia dini. Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena...
32 Reactions
115 Replies
3K Views
Nakumbuka wakati wa Ujenzi wa barabara ya Makambako Songea wale wakandarasi waliiba sana Madini Wakijifanya wanaenda kutafuta Miamba ya kokoto Maporini Sema tu viongozi wa wakati Walikuwa makini...
4 Reactions
10 Replies
73 Views
Nimeshangaa siruhusiwi kureply wala kukoment chochote kwenye uzi Muungano: VP na Waziri wa Afya, hili si la Muungano. Msiliingize Kinyemela Option ninayoruhusiwa ni ku- like tu,
2 Reactions
19 Replies
89 Views
NYUMBA (BINAFSI) NZURI IMEJENGWA KISASA INAUZWA MSUFINI MLANDIZI. IKO KWENYE CORNER PLOT, NI KILOMITA 1 TU TOKA MAIN ROAD LOC : KIBAHA KARIBU NA MSUFINI MLANDIZI AREA :SQM 534 PRICE : MIL 38...
0 Reactions
2 Replies
174 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kupitia Ukurasa wakewa X (Twitter) amekanusha taarifa iliyotolewa na Sauti ya America inayoelezea Mkopo wa Tanzania na...
1 Reactions
54 Replies
2K Views
Morning Jf members. Naona wandele wengi hawaoni raha mpaka wavishwe pete kwenye vidole vyao virefu kama peni. Kwani ni lazima au mimi nguva jike ndo napuuza na sipo serious sana na mambo ya...
0 Reactions
2 Replies
19 Views
TFF tuliwaasa kulea madhambi na kuacha weledi na kuingiza siasa kwenye football hamkutusikia, kijana alikumbia mkataba akahongwa, akashindwa kesi TFF mkaingiza siasa labda na woga mkataba...
14 Reactions
42 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. Twende kwenye Mada yetu, Igbo ni kabila linalo patikana Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria na nchi nyingine jirani. Kabila hili limesambaa nchi nzima ya Nigeria hasa kwenye...
2 Reactions
10 Replies
201 Views
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu. Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa...
12 Reactions
29 Replies
637 Views
A
Anonymous
Hakuna chuo ambacho walimu ni Mungu watu kama Tabora Polytechnic college kuna madudu mengi yanafanyika hapa hasa kwenye ngazi ya Famasi Diploma mfano kuna mwalimu style yake aisee hapana inabidi...
0 Reactions
2 Replies
69 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,974
Posts
49,790,244
Back
Top Bottom