Unaambiwa Kwa Sasa MTU Bora asile lakini aweke Bando afatilie Lissu kasema nini !!!.
CCM ya Makala na Nchimbi, Iko wapi?? Mbona imepoteana .
Kidogooooo Arusha ndio imekucha, Wana Arusha Kwa Sasa...
Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana...
Mmepita huku insta mkaona harambee ya watoto wa mjini??
Wanachangisha michango Ili kuleta mwili wa dada mmoja aliefikia uturuki katika harakati za surgery ya kuweka makalio, kwahyo inasemakana...
WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA AZINDUA KITUO CHA AFYA BIHARAMULO
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax, tarehe 03 Mei, 2024 amezindua Kituo cha...
Hakika wenye AKILI KUBWA ndio maana tunasema bila KATIBA MPYA itakayounda UPYA Vyombo vyote vinavyosimamamia UCHAGUZI Nchini.
VYAMA Kuendelea kushiriki CHAGUZI chini ya KATIBA hii inayompa...
Listen comrades, ukiwa nice guy kwenye soko la mahusiano kuna uwezekano mkubwa zaidi ukapata bidhaa ambayo tayari ishachakachuliwa na ipo nyang'anyang'a baada ya kutumika na wengi kwa muda mrefu...
Wakuu sijawahi kukutana na mtu mkorofi mtata na mwenye visasi kiasi hiki.
Biashara imekuwa ngumu sana mpaka nawaza kuifunga tu asije akanipeleka jela bure maaana amepania kupeleka jela...
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa...
Nimetembea na wake za watu sana, kwa uozo nilioushuhudia niliapa kabisaa sintakuja kuoa ila leo nimetengua kauli yangu, jamani mapenzi matamu asikwambie mtu, duh! Nimempata binti, mtoto mdogo...
Rafiki yangu mpendwa,
Kukosa muda imekuwa ndiyo kisingizio kikuu cha wale walio kwenye ajira na hawajawa na biashara.
Unakuta mtu yupo kwenye ajira, ambayo inampa kipato kidogo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.