Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500, Wali ule unaouzwa 2000 maeneo mengine hapa...
14 Reactions
66 Replies
864 Views
Kuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga 😃 , simu zitaingia Kama zote , utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje
2 Reactions
11 Replies
95 Views
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura...
86 Reactions
650 Replies
17K Views
  • Suggestion
Source: Kitini cha sheria UTANGULIZI Hapo nchini, kumekuwa na mjadala wa muda mrefu kuhusu utu wa Watanzania: je, ni wapole au waoga? Mjadala huu huibuka hasa pale ambapo raia hawaridhiki na...
15 Reactions
26 Replies
325 Views
Siyo mzaha jamaa kwa biashara wako vzr sna Kuna mtaa naishi hapa dodoma Basi kulifunguliwa vi car wash Kama mbili tatu hv na baadae mchaga mmoja ambae Ni Dr wa Benjamin mkapa nae akaja kuanzisha...
0 Reactions
8 Replies
87 Views
1. Vita Gaza vinapaswa kukoma. "Enough is enough!" 2. Hilo ni lililotakwa la dunia, kutokea UN huko; mataifa: moja moja; mashirika ya kimataifa, mashirika ya misaada ya kiutu, nk. 3. Kuna azimio...
0 Reactions
2 Replies
49 Views
Wamefunguliwa kesi ya Uchochezi na kuzua Taharuki Kesi hiyo imefunguliwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam. Bado haijajulikana kama watapata dhamana au watapelekwa Segerea
1 Reactions
15 Replies
199 Views
daaah wakuu kuna mtu kanifuata inbox kaniambia ni HR wa kampuni mpya ya kutengeneza juice ipo chalinze akaniambia nimtumie vyeti nikamtumia, akaniambia kwenye vyeti vyangu kuna sehemu ambapo...
11 Reactions
35 Replies
761 Views
Watanzania wamezungumzia ubaya wa katiba yetu tangu siku nyingi. 1. Mwalimu Nyerere alikiri kuwa katiba yetu ni mbaya. 2. Bunge la mwaka 1993 lililopitisha maamuzi ya kuundwa kwa Setikali ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina...
24 Reactions
139 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,582
Posts
49,578,907
Members
668,043
Latest member
Frank_1
Back
Top Bottom