Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nawakumbusha tu Maana huwa mnajisahau sana hlf mkipigwa kitu kizito mnakuja hapa mbiombio kujiliza hapa na kutupa taabu ya kuwashauri. SIWAFOKEI ila tusilaumiane uko bdae.
7 Reactions
20 Replies
225 Views
Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi. Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika: Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru...
2 Reactions
2 Replies
124 Views
Nimeshangaa Ewura leo tarehe 2/4/2022 kututaarifu kwamba mafuta yatapanda bei tarehe 5/4/2022. Hii ni sawa na kuhujumu uchumi kwani kesho na keshokutwa tutegemee uhaba wa mafuta. Wafanyabiashara...
4 Reactions
14 Replies
769 Views
Msichojua ndo hicho sasa Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia...
37 Reactions
128 Replies
4K Views
Inchi yetu Wananchi wake waliingizwa kwenye Vyama vingi Kwa utashi wa MATAIFA ya nje na Viongozi walio na hila Ili waonekane wanaenda na matakwa ya wakati katika Siasa. Waliotaka Vyama vingi...
1 Reactions
9 Replies
90 Views
Wakenya hawana baba. --- Salary Enhancement for Over 100,000 TSC Educators Effective July 2024: A Detailed Examination The Teachers Service Commission...
0 Reactions
4 Replies
95 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
41 Reactions
50K Replies
3M Views
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa. Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ila tatizo wife sasa huwa...
11 Reactions
77 Replies
2K Views
Habari Wadau, Mwenye uelewa juu ya kuomba maombi ya Moja kwa Moja kwenye mfumo naomba ufafanuzi. kati ya vacancy request na transfer request kipi kinatangulia? Je kutokujaza vacancy request...
1 Reactions
19 Replies
236 Views
Kuna tetesi madini yamekuwa yakinunuliwa kwa kasi ktk mikoa ya Geita na Shinyanga na wafanyabiashara wasio wazalendo. Wafanyabiashara hao hupewa mitaji na serikali ya Rwanda japo wao ni...
8 Reactions
53 Replies
556 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,883
Posts
49,530,924
Members
667,269
Latest member
peter one
Back
Top Bottom