Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomba ukweli tu ndio usemwe nani mwenye uwezo wa kimedani Kati ya mahasimu hawa wawili kati ya muyahudi na waajemi. Kuna watu wanapenda mambo ya medani japo vita ni kuzimu(hell) ila ni hulka ya...
9 Reactions
206 Replies
4K Views
Habari! Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuamsha salama siku hii ya leo na kwa wale wote ambao wanapitia changamoto mbalimbali hasa za kiafya kwa pamoja...
2 Reactions
5 Replies
6 Views
Binafsi ushawah kumtabiria makubwa mchezaj halafu ghafla ukashangaa anapotea kwenye raman ya soka ama kwa kushuka kiwango, majeraha ,au kuhama timu moja kwenda nyingine? Kwa mtazamo wangu wafuatao...
0 Reactions
1 Replies
7 Views
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24...
6 Reactions
109 Replies
705 Views
Mtangazaji Nguli, Mwanahabari na Mwandishi wa habari mashuhuri Afrika Mashariki na Kati, Salim Kikeke amejiunga na Redio/TV ya Crown FM/TV inayomilikiwa na Alikiba. Hii ni baada ya Alikiba...
5 Reactions
35 Replies
1K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
163K Replies
4M Views
Wakati Chadema wanatangaza kuandamana Nchi nzima, kupinga Ugumu wa Maisha, Kikokotoo na Sheria mbovu na za kijinga za Uchaguzi, wako wale wenye Ubongo mfupi waliobeza na kutamka kila neno baya...
5 Reactions
13 Replies
172 Views
Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana wa kiume niliyezaliwa katika familiya ya watoto watano, nimeajiriwa serikalini nina kaka yangu yeye hakusoma yuko yumbani anaishi na wazazi, huyu kaka yangu ni...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Uzi wa maji upo na wa Chakula upo tuweke na wa hewa ipo Hivi Sio mtaani tu hata kwetu hapa JamiiForums wapo wavuta tumbaku. Wapo ambao ni chain smoker yaani akila tu akiamuka tu cha kwanza ni...
0 Reactions
0 Replies
5 Views
#HABARI Mfanyabiashara wa madini Marwa Masese Festo (55) pamoja na mtoto wake John Marwa (30) wakazi wa Kunduchi Mtongani jijini Dar es Salaam, wameuawa baada ya kupigwa na vitu vizito kichwani na...
13 Reactions
132 Replies
16K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,664
Posts
49,525,291
Members
667,181
Latest member
Enodius
Back
Top Bottom