Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
66 Reactions
320 Replies
7K Views
Kitabu kinaitwa THE LOST BOOK OF HERBAL REMEDIES ( by Claude Davis and Dr. Nicole Apelian) Dah nakihitaji Sana. Wataalam wa ku cheza na kuchekecha mambo hamuwezi mkanisaidia aisee ni fanye free...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Hakyanani Mtani wangu wa Kiha ( Mkoani Kigoma ) Kocha Msaidizi wa Simba SC nimekuvulia Kofia Muha Wewe.
2 Reactions
7 Replies
46 Views
Hapa Koffi Olomide aliwekeza akili zote hii ngoma ni kali sana, nimekua nikiirudia zaidi ya mara moja kila nikiisikiliza. Kuna ngoma kali kuishinda hii?
0 Reactions
3 Replies
25 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan kwa kushirikiana na Familia yake wamechangia kiasi cha Millioni 100 yaani mia moja ,ujenzi...
8 Reactions
97 Replies
2K Views
Shalom, Kama mdau wenu mimi Wadiz naandika yafuatayo katika Hali ambayo naamini ndiyo ipasayo katika hoja mbalimbali zenye mashiko na kulinda uhalali wa baadhi ya wenye kukataa kuoa. Na katika...
3 Reactions
25 Replies
108 Views
1. Inasema misahafu (Luka 19:40): Yesu akawajibu, “Nawaambia, hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.” 2. Haya ni maneno yangu: 3. Kwamba huyu ni Myahudi na tena ni Mmarekani?! 5. Kumbe...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Nimefurahishwa sana na majaribio ya treni ya umeme kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma. Kwa kweli imenifurahisha sana kwa muda uliotumika mpaka Dodoma. Pamoja na hayo ninaona changamoto zilizopo...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Katika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako. Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza. Adui -ni yule anayepambana...
15 Reactions
75 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,402
Posts
49,518,298
Members
667,103
Latest member
nicolaus9991
Back
Top Bottom