Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari! Kila mtu anaweza kufanya backup ya habari ya saa 20:00 tarehe 31, Mei 2024. Ni habari nambari 2 kama sijakosea. Nilisikia Makamu wa Rais anawaomba wafanyabishara wapunguze bei ya gesi...
7 Reactions
20 Replies
610 Views
Wale wakongwe walio anza kutumia computer na operating system za Ms DOS, Windows 95, Windows 98 na kabla ya hapo njoo tupe historia yako ulijifunzia wapi computer. Nini au tukio gani...
4 Reactions
48 Replies
127 Views
Kama si Wakoloni, huenda Tanganyika kwa sasa ingekuwa ni nchi ndogo sana au kubwa sana kuliko ilivyo sasa. Isingelikuwa Wakoloni, huenda Arusha na Kilimanjaro zingekuwa nchi zinazojitegemea...
5 Reactions
20 Replies
247 Views
Wakuu nashindwa kuelewa ipi yenye nguvu milimani na ipi. Ina spid kuliko nyingine wakat zote ni 150?
2 Reactions
38 Replies
7K Views
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza...
20 Reactions
60 Replies
2K Views
Mbowe... Makamanda wa CCM... Nape... January cdm... ....
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Mwenye kufahamu naomba anifahamishe hivi kwanini wanasheria mnaitana wakili msomi 🤔 kwani kuna mawakili sio wasomi ?
9 Reactions
55 Replies
619 Views
My people how's weekend? Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari. Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya...
29 Reactions
213 Replies
3K Views
Yaani anasoma Habari huku anachekacheka, anarembua na Kujibebisha kwingi. Na nadhani Yeye na Cameraman wake wana Kitu cha ziada kinaendelea kwani kila mara akimaliza tu Kusoma Habari fulani...
2 Reactions
1 Replies
2 Views
Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi! Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi...
23 Reactions
119 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,294
Posts
49,770,877
Back
Top Bottom