Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo...
6 Reactions
101 Replies
821 Views
Vyombo vya habari vya Marekani vimetoa ripoti kwamba, kampuni za kutengeneza dawa nchini humo zinashawishi Bunge la nchi hiyo kuiwekea China vikwazo, kwa sababu China imefanikiwa kubuni teknolojia...
8 Reactions
27 Replies
707 Views
Tafadhali aliye Jirani nae amwambie kuwa aachie Ngazi Simba SC kwani GENTAMYCINE huwa Sibahatishi kwa Taarifa.
1 Reactions
22 Replies
131 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimefuatilia mijadala mbalimbali ya kisiasa inapokuwa ikifanyika katika maeneo mbalimbali, iwe ni mitaani au kwenye mitandao ya kijamii. Nimekuja kugundua kuwa CHADEMA na...
5 Reactions
132 Replies
2K Views
Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba. Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo...
40 Reactions
86 Replies
3K Views
Nimerudii tena mimi kadogo2 safari hii nina majonzi Kuna story nilishaitoaga hapa kuhusu kumuacha Ex wangu kwa mambo Fulani fulani.. sasa bhn sababu kubwa niwe mkweli huyu ex wangu alikuwa...
4 Reactions
136 Replies
2K Views
Wakuu natafuta chat gpt ambayo kwene iphone ni free? Hii ninayoijua ni ya kulipia ila ni free kwene browser ZINGINEZO...
0 Reactions
20 Replies
138 Views
Kisa hiki ni cha kweli kilichotokea katika nchi moja ya afrika mashariki katika muda tajwa hapo juu. Fwatana nami.
2 Reactions
19 Replies
251 Views
Niseme tu kwa ufupi yule Mwamba alikuwa ni Mbeba Maono wa Ukweli siyo wa Mchongo Mzee Mwinyi: Mambo yaliyotushinda Sisi Watatu kwa Miaka 30 Magufuli kafanya kwa Miaka 3 Dr Shein: Wakati Magufuli...
1 Reactions
3 Replies
60 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,843
Posts
49,867,399
Back
Top Bottom