Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Na sababu kubwa ni kwamba Uislam sio dini tu, upande mwengine ni mfumo wa kisiasa !! Nchi ikishajaa waislam basi uislam unaingia kwenye sheria za nchi zifatwe hata kwa wasio waislam, idadi ya...
19 Reactions
129 Replies
2K Views
Sina kazi nashinda na simu muda wote Nipo nipo tu sina muelekeo wowote Nimemaliza Chuo mwaka Jana Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
10 Reactions
61 Replies
388 Views
Nilifanya kosa kazini sikuingia kama siku sita hivi bila ruhusa, siku niliyoingia kazini niliambiwa niandike maelezo, baada ya kuandika maelezo niliambiwa nirudi nyumbani nitaitwa. Zimepita siku...
2 Reactions
19 Replies
127 Views
Ni kisa cha kushangaza sana. Nimeikuta mtandao wa Quora. Baada ya mazishi ya mwanaume mmoja, mbwa wake alitoweka ghafla na kwenda kusikojulikana. Siku mbili baadaye alikutwa akiwa amelala kwenye...
4 Reactions
12 Replies
130 Views
Kuna Propaganda mpya dhidi ya Waislamu. Wako wanaofurahia propaganda hizo. Wako wanaoamini propaganda hizo. Wako wanaolipwa kwa kuandaa propaganda hizo. Propaganda hivi zimaendezwa kwaa media...
1 Reactions
124 Replies
1K Views
Waziri mkuu Mstaafu na mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Kanda ya Mashariki amesema hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza nchi hii ya Tanzania zaidi ya Dr Samia Sumaye alikuwa anamueleza Katibu mkuu...
5 Reactions
68 Replies
1K Views
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia. Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe...
60 Reactions
676 Replies
50K Views
Habari! Ndugu wafanya biashara wa peanut butter,unga wa lishe, karanga za kutafuna na n.k.. nina mashine ya kukaanga karanga ina uwezo wa kukaanga karanga zaidi ya kg 50 na pia nina mashine ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Gym trainers sipo poa yani.
0 Reactions
12 Replies
214 Views
Siku chache baada ya RC Makonda kuelekeza TAKUKURU wamweke ndani Mtendaji Kata ya Bwawani na asipewe dhamana kwa tuhuma za kuchukua rushwa milioni moja; wananchi wa kati hiyo zaidi ya mia mbili...
20 Reactions
65 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,156
Posts
49,766,561
Back
Top Bottom