Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wanajamii forums, Nimeteuliwa kuwa reviewer wa Jarida la Matumizi ya akili bandia katika uhandisi (Journal of Engineering Applications na Artificial Inteligence). Hivyo kwa wanaopenda...
17 Reactions
104 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna video nimeiona kwenye ukurasa wa Twitter wa Maulidi Kitenge ikimuonesha Rais wa Nigeria Mheshimiwa Tinubu akianguka chini wakati akitaka kupanda gari. ambapo ni kama...
1 Reactions
13 Replies
183 Views
Inasikitisha sana inappfikia hatua mashabiki kwenda kumfanyia vitendo kama hivi kiongozi wa timu, tena Mzee Dalali ambaye uongozi wake alijitahidi sana. Mbaya zaidi, sababu yenyewe ya kumfanyia...
0 Reactions
2 Replies
28 Views
Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai amesema kama kulikuwa na tatizo la kisera, ni mambo ya kujadiliwa bungeni. Sio mara ya kwanza kutokea sera zikawa na udhaifu au zinahitaji maboresho. Anasema Zitto...
13 Reactions
313 Replies
30K Views
Mkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000 Source: Swahili Times Mlale Unono 😃😃
7 Reactions
46 Replies
602 Views
Wasalaam. Upuka maneno matupu yasiyo na uthibitisho. Tufuatane kwa pamoja na kwa umakini upate kujifunza. Nitaweka, Aya zote ili uweze kuthibitisha mwenyewe na kufanya rejea juu ya yote...
0 Reactions
7 Replies
43 Views
Ifikapo 2050 Tanzania itakua na watu 150M watu wengi hasa wazee watakua wanaishi chini ya mstari wa umaskini. Hawa vijana wanaoshinda kucheza kamari ,bodaboda ndo wazee wa2050 sidhani kama...
1 Reactions
10 Replies
99 Views
Ndo hivyo wakuu Hali sio Hali nimeamua nipige yowee mwenye maskio na asikie, maana jiwe limepigwa gizani na Mimi ndo nilikuwa nimejificha humo na jiwe ndo limenipata😓 Mimi ni kijana wa makamo tu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
YouTube blogger amekuwa anawauliza raia wa Nigeria swali,kwamba kama inatokea fursa ya kupewa Uraia wa kudumu wa Tanzania au Kenya,watapenda kuishi Nchi gani? Jibu la wengi ni kwamba Watachagua...
3 Reactions
232 Replies
3K Views
Nakumbuka huko nyuma viongozi wa haya mashirika walikuwa na pesa kama wafanyabiashara wakubwa kwasababu ya miradi ya deal. Hebu Watanzania jiulizeni kitu kimoja Bondi za serikali kwa miaka zaidi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,732
Posts
49,864,741
Back
Top Bottom