Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwanza naomba 'nidiclee' kwamba mm ni mmoja wa ME ambae si mtu wa fashion, yani mimi sijui kuvaa kabisa na sina hiyo passion ya pamba pamba. Nishawahi kusemwa sana na ma-ex wangu kuhusu uvaaji...
184 Reactions
1K Replies
198K Views
Mimi ni kijana wenu mtanzania halisi ila kwa sasa nipo huki Malindi Kenya kujitafuta sasa kinachonileta kwenu ni hivi kuna mwanamke maana ni mwanamke ako na 35 years tulikutana kwa app inaitwa...
18 Reactions
211 Replies
3K Views
ONEPLUS 10 PRO 📱 •128GB | 8GB ⚙️ •Black Color •Single Sim ✔️ •Clean Condition Tsh 900,000/= Call / Text +255 714 981607 ☎️ 10 MONTHS LIMITED WARRANTY
0 Reactions
1 Replies
6 Views
Habari za mchana wakuu, natumai hamjambo kabisa na mnaendelea katika harakati za kusaka mkate na kwa wale wanaugua Mungu awaponye kwa uwezo wake tuseme Amin !! Kwanza kabisa mimi ni mtu ambaye...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Wapenda amani SALAÀM! Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:- Mbn Lissu anatukana sana? Mbn Lissu anadhihaki sana? Mbn Lissu anakera...
2 Reactions
22 Replies
231 Views
Rais wa Senegal, Bassirou Faye amesema faida itakayotokana na mauzo ya mafuta na gesi "itasimamiwa vyema" wakati taifa hilo la Afrika Magharibi likianza kuzalisha mafuta kwa mara ya kwanza...
4 Reactions
8 Replies
221 Views
Usiku hapa niko na hasira kama zote. Baada ya mwanamke mmoja niliyempa mimba na kuamua kuishi nae kwa ushawishi mkubwa wa ndugu. Kiukweli Mwanzoni wa maisha alikuwa binti mzuri Mwenye kila...
2 Reactions
20 Replies
131 Views
ILANI: KAMA TIMU YAKO INACHEZA SHIRIKISHO USIWE NA KIHEREHERE SHIRIKISHO KUJIBU MWAKAROBO FC Acheni kutuchosha, MLIPENI MUDDY BILIONI ZAKE NIMEMALIZA
0 Reactions
1 Replies
14 Views
Vijana wengi wa kitanzania wasomi na wasio wasomi wengi wao wamekuwa wakilalamika aina ya maisha ya sasa yalivyo magumu kwako. je sababu ni serikali kutowawekea mazingira wezeshi au ni kubweteka...
2 Reactions
14 Replies
208 Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Nilikuwa natembea kuelekea kwenye Kituo cha basi upande wa pili. Nilipokuwa navuka zebra kuelekea kwenye hicho kituo kulikua na mzee mmoja kakaa anasubiri basi. Cha...
24 Reactions
133 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,776
Posts
49,865,938
Back
Top Bottom