Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tunaiomba serikali sikivu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania; itoe kwanza mafunzo kwa viongozi wa taasisi na watumishi wengine juu ya namna sahihi ya ujazaji wa PEPMIS. Tukumbuke huu ni mfumo...
1 Reactions
3 Replies
82 Views
Kuna kundi la watu ambao wanaiomba serikali ifungie twitter nchini kwa kudai kuwa twitter imeruhusu maudhui ya mapenzi ya jinsia moja. Hata hivyo, najiuliza ni mtandao gani ambao hauruhusu mapenzi...
1 Reactions
8 Replies
71 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
524K Replies
30M Views
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja...
17 Reactions
45 Replies
1K Views
Mwendazake aliitumia vizuri nguvu yake ya uongozi kuwapa watu ubunge wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Mfano Khamis Taletale au Babu Tale, mbunge wa Sengerema Khamisi Tabasamu na wengine wote wenye...
2 Reactions
9 Replies
142 Views
Naomba uongozi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial Academy muanze kumtazama lecturer Anayeitwa Majura anayefundisha masomo ya kiswahili. Lecturer huyu hana maadili ya ualimu ni mbabe ...
4 Reactions
35 Replies
642 Views
Habari wadau, Naomba msaada wa kufundishwa program ya FL studio, Sina PC. Nipo Dar. Kwa aliye tayari karibu PM Asanteni
0 Reactions
2 Replies
43 Views
Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana. Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi...
73 Reactions
244 Replies
7K Views
Hi guys🙋, i hope mko poa wote. Mwenye kuhitaji kabati kubwa la nguo chukua hili, ni zuri sana. Location: Kigamboni Kisiwani, price: 300k Contact : 0697224996
2 Reactions
3 Replies
76 Views
  • Suggestion
Utangulizi Nchi yetu Tanzania, kama ilivyo katika mataifa mengi, vita dhidi ya uraibu wa kamari na vilevi vyenye kemikali maarufu kama "Visungura" imekuwa changamoto kubwa. Tatizo hili limekua...
6 Reactions
28 Replies
383 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,473
Posts
49,858,425
Back
Top Bottom