Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu zangu Watanzania, Leo imekuwa siku ya moto sana na ngumu sana kwa wanasiasa uchwara wa Nchi hii. Leo Rais wetu mpendwa ameshusha NONDO za hatari sana zilizowakosha watanzania na kuibua...
11 Reactions
129 Replies
3K Views
Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
47 Reactions
135 Replies
3K Views
Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume, Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo...
9 Reactions
54 Replies
1K Views
Nimerudii tena mimi kadogo2 safari hii nina majonzi Kuna story nilishaitoaga hapa kuhusu kumuacha Ex wangu kwa mambo Fulani fulani.. sasa bhn sababu kubwa niwe mkweli huyu ex wangu alikuwa...
0 Reactions
10 Replies
76 Views
Mwanza/Dar. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linaendelea na uchunguzi juu ya tukio la kigogo mmoja wa juu ngazi ya mkoa wa kanda ya ziwa, kutuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa chuo kikuu jijini Mwanza...
9 Reactions
737 Replies
36K Views
Leo nimeunganisha matukio ya vyama vikongwe vya siasa Afrika ambavyo vimeonesha weledi wake na kufanya nchi zao ziwe za kupigiwa mfano Afrika. Chama cha kwanza ni chama cha United National...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Tunafanya delivery kwa Wakazi wa Dar Unalipia ukipokea bidhaa yako Free delivery kwa Wakazi WA Dar(10KM) Tupo kariakoo mtaa wa ndanda na magira
6 Reactions
1K Replies
34K Views
Hii ni kauli tunaisubiri mwaka 2035 toka kwa moja ya viongozi wa nchi hii. Imekuwa kawaida kukumbuka makosa wakati kumesha kucha. Rais mkapa aliwahi kukiri kwamba alifanya makosa kubinafisha...
1 Reactions
1 Replies
23 Views
Mkutano wa CHADEMA wa Singida Magharibi ulioongozwa na Tundu Lissu umefana Lissu amewataka wananchi kufanya mabadiliko kwenye serikali za mitaa ili kuondoa Migogoro Naye John Pambalu ameitaka...
4 Reactions
17 Replies
693 Views
Kwanza nawapa salamu, nazingatia itifaki/ Nadhani Mvumbo mnamfahamu, kwenye mistari mimi ndiye chaki/ Naandika zaidi ya kalamu, mwana Hip hop kindaki ndaki/ Ma mc's wa Jamii Forums, karibuni nyuma...
25 Reactions
674 Replies
76K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,495
Posts
49,858,862
Back
Top Bottom