Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Woga na hofu miongoni mwa wangwana wengi humu duniani, vimechelewesha na kukosesha watu vitu na mambo mengi mazuri sana waliyopaswa kua nayo au kuyafikia mapema katika dunia hii. Majasiri wengi...
4 Reactions
48 Replies
679 Views
Zuchu hajajichubua, hajaweka kalio la plastic, hajachora tatoo, havuti shisha wala kunywa pombe Ukimpata kama yeye Oa chap masta
1 Reactions
74 Replies
332 Views
Jamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia. Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka. Awe baba kwa watoto wake...
2 Reactions
15 Replies
165 Views
Mwanaume anadai natafuta mwanamke , mchakarikaji. Na mwanamke anatafuta mwanaume mtafutaji Kwa ushauri tu je usipo mpata mke mchakarikaji,au mwanaume mtafutaji.?? Wewe mtafute mtu tu unayempenda...
5 Reactions
11 Replies
41 Views
Najua unanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo nasubiria Jibu lako kwani Wewe ulivyo na Kiherehere baada ya Kocha Amrouche Kutukera Watanzania kule AFCON ulisema tena kwa Kujiamini kabisa...
-1 Reactions
2 Replies
3 Views
Wapendwa natafuta rafik wa kubadirishana mawazo na kushauriana mambo mbalimbali . Mm ni mwanamke wa miaka 33 ninae jielewa ni ivo tu [emoji28] maisha
4 Reactions
33 Replies
105 Views
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja...
6 Reactions
12 Replies
230 Views
Salaam, Shalom!! Thread hapo juu imejengwa katika Katiba ya Wana wa Mungu iitwayo Neno la Mungu.(Biblia). Kusema kuwa haupo urafiki kati ya Mwanaume na mwanamke haimaanishi kuwa Pana uadui...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
523K Replies
30M Views
Mimi ni kijana wenu mtanzania halisi ila kwa sasa nipo huki Malindi Kenya kujitafuta sasa kinachonileta kwenu ni hivi kuna mwanamke maana ni mwanamke ako na 35 years tulikutana kwa app inaitwa...
13 Reactions
120 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,390
Posts
49,856,585
Back
Top Bottom