Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka...
3 Reactions
12 Replies
15 Views
Ni siku nyingine tena, nawasalimu Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini? Wanawake...
9 Reactions
93 Replies
2K Views
MDAU MMOJA KAANDIKA TWITTER, WE NEED TO KNOW WHETHER ITS TRUE OR FALSE. LISEMWALO LIPO. 1. Wazanzibar kwenye masuala ya elimu, kule kwao wana fungu la Elimu ya Juu Kwa watu wa Zanzibar na sio...
8 Reactions
63 Replies
854 Views
Wakati JPM akizindua rada mpya alisema Tanzania sasa inaweza kuliona anga la maziwa makuu na kusini mwa Afrika kwa usahihi zaidi kuliko nchi zote Ukanda tajwa. Kwa maana nyingine Tanzania ni kama...
5 Reactions
19 Replies
328 Views
Wasaalam. 4 Juni, 2024, Dodoma. ________________ Athuman Kapuya Foundation ni shirika lililosajiliwa mwaka 2021 ambapo, kwa kipindi chote limetekeleza matakwa ya kisheria ya uwasilishaji wa...
19 Reactions
156 Replies
4K Views
Je umeshawahi japo siku moja moja kukaa na wanao na kuangalia cattoon na kuona yaliyomo? Kuna jamaa mmoja wa karibu sana aliniambia siku moja amekaa home amechill na wanae wanaangalia...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Tangu 2015 watanzania hatujapata rais anayestahili na mwenye sifa za uongozi. Rais wa 2015 - 2021 . Huyu alikuwa anaendesha nchi kama nyumba yake. Alijawa na sifa za kishamba, matusi kibao na...
6 Reactions
23 Replies
374 Views
Nilikua nadhani ni kwenye majiji makubwa tu ila tuwe wakweli picha ya rais Samia ipo kwenye mabango karibu nchi nzima tena sehemu karibu zote potential kibiashara Kuna mahali nilikua na kakibanda...
12 Reactions
60 Replies
1K Views
MIe kama mteja wa mda mrefu wa voda nimepata na ukakasi kidogo , ni hivii awa jamaa mara nyingine unajuta deni limelipwa wao hawajakata ,wanaendelea kulitambua deni na mda unafika wanakupiga fine...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,mama wa shoka , shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, nyota ya...
2 Reactions
59 Replies
579 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,102
Posts
49,849,436
Back
Top Bottom