Rais Samia amekiri kusikia kelele na matusi ya watanzania juu ya sera zake na uongozi wake. Lkn amesema ameamua kujifanya kuwa kama "chura kiziwi" mpk dhamira yake na lengo lake la litakapotimia...
Mchezaji Wa zamani Wa Simba sc Dejan anaongoza katika kinyanganyiro Cha mfungaji Bora uko Serbia [emoji1212].
Na Hizi hapa ni Takwimu zake
[emoji843]MECHI 38
[emoji843]MABAO 30...
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa...
Kuna mtu nilishawahi kumuuliza Hivi Kutengeneza Juice ya Ukwaju na Ikawa Nzito kama ya Mzee wetu, inahitaji utengeneze na Ukwaju kiasi gani?.
na je ushawahi kuona au kusikia wamenunu maembe au...
Na mimi kazi mliyonipa nasimama na ninaifanya na mnashuhudia matusi ninayotukanwa mpuuzi, hana maana, huyu Bibi ana hivi, mambo tele lakini najigeuza chura.
Kwahiyo nyingi zinapigwa kelele...
Hili ni angalizo ambalo nalipeleka kwa Mwenyekiti Mpya wa Kanda hiyo Joseph Mbilinyi na Timu yake yote.
Kyela iko tayari muda mrefu sana kwa mabadiliko, iko tayari kuliko hata Mbeya Mjini, lakini...
Wameanza kwa mbwembwe kama hivyo na ndugu zetu upinde wamepata kipaumbele namna hiyo
Website ya AppleBETA iko busy naona soon wale wa dev beta mzigo utakua hewani IOS 18
IOS 18 is out now
Shalom wana jf
Iko hivi ..kuna huyu dada ni mzuri sana...nko naye kwenye mahusiano
Kwa muda sasa!!!
Ni boss flani hivi ..ana kampuni zake kama mbili kubwa
In short ..ana mawe!!!
Tatizo n...
Naomba tuwape heshima waalimu walioacha legacy inayodumu kwa wanafunzi wao. Mimi naanza na huyu.
Mwalimu Mnzava - Mbeya secondary (Mbeya Day)
Huyu mama alihamia hii shule miaka ya mwisho ya...
My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.
Tafuteni hoja nyingine 👇👇
======
“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.