Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali...
0 Reactions
20 Replies
342 Views
Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza...
10 Reactions
82 Replies
4K Views
Wakuu habari. Bado Watanzania wengi tuna wasiwasi kuhusu "transformation" kutoka kwenye magari ya kutumia mafuta (ICE - Internal Combustion Engine) kwenda magari ya Hybrid (pamoja na Plug-in...
12 Reactions
20 Replies
323 Views
Habari Ndugu yangu, Kiongozi wangu, Rafiki yangu wa Almasi (Platnum Friend) Najua wewe ni sehemu ya watu wanaoniunga mkono Kuna jambo nahitaji msaada wako kidogo. Kuna biashara yangu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mpenzi nilienae Kila siku ana matatizo jamani Kila siku yeye hasara yeye, kikosa ajira yeye. Kila siku ananipa habari mbaya nahisi ana mikosi na najikuta Mimi ndo naumizwa na matatizo yake...
2 Reactions
19 Replies
299 Views
MDAU MMOJA KAANDIKA TWITTER, WE NEED TO KNOW WHETHER ITS TRUE OR FALSE. LISEMWALO LIPO. 1. Wazanzibar kwenye masuala ya elimu, kule kwao wana fungu la Elimu ya Juu Kwa watu wa Zanzibar na sio...
5 Reactions
45 Replies
723 Views
Dunia hii ya leo ya kibepari kila mtu anataka fedha ya mwenzake kwa njia yoyote ile. • Nashangaa mtu anajifanya anagawa pesa za UNICEF anawatapeli watu. • Nashangaa pale mtu anapojifanya rafiki...
1 Reactions
3 Replies
33 Views
Wakati JPM akizindua rada mpya alisema Tanzania sasa inaweza kuliona anga la maziwa makuu na kusini mwa Afrika kwa usahihi zaidi kuliko nchi zote Ukanda tajwa. Kwa maana nyingine Tanzania ni kama...
3 Reactions
13 Replies
182 Views
Kutokana na malezi ya kisasa na mifumo ya kisasa ya maisha ile kanuni ya mtii mwanaume wako kwa wanawake wa kisasa ni kitu ambacho hawakielewi kabisa wala kujua maana yake wakiwa katika umri wa...
46 Reactions
334 Replies
5K Views
...tunaendelea Ingekuwa hoja kama tusingemsema Magufuli kwa mfano, kuna mtu alimsema Magufuli kama mie? Kuna mtu alimsema Kikwete kama sisi? Mpaka Mkapa, mie kesi yangu ya kwanza ni ya Mkapa...
40 Reactions
113 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,096
Posts
49,849,231
Back
Top Bottom