Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewashangaa wenye umri zaidi ya miaka 40 wanaolalamika kukosa pesa na kutoa lawama kwa Rais Samia. Chalamila amesema: “Kama una umri kama wa...
22 Reactions
65 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Mimi kijana wa kiume umri early 30's.Naombeni mwenye kazi yeyote halali alieko dodoma mjini anisaidie, Naweza kufanya kazi zinazohitaji kutumia nguvu au hata inayohitaji elimu ya...
6 Reactions
19 Replies
133 Views
ni mtumishi mwenye karama ya kipekee sana. na hata anaowabaini hawakuwajibika vyema kwenye wajibu na majukumu yao mbalimbali ipasavyo, wana kiri kuzembea au kukosea, wanajutia na hawajiskii...
4 Reactions
30 Replies
204 Views
Wakuu habari? Mchepuko wangu alinipa wazo moja la biashara, na katika kulitathmini likanishawishi na kunipa matumaini, kwa sababu kama nitalitekeleza kwa ufasaha, linaweza kutengeneza matawi hapa...
8 Reactions
101 Replies
722 Views
Peace, Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho...
42 Reactions
153 Replies
2K Views
Despite kupewe onyo kali lilitolewa na mahakama ya ICJ siku chache zilizopita, Israel imeendelea kushambulia kambi ya wapalestina Rafah kwa kuilipua na mabomu yenye paundi 2000 zaidi ya mara...
2 Reactions
14 Replies
245 Views
Azam kutoa Milioni 50 kila mwezi kwa kila timu ya ligi kuu, hadi sasa umeona mabadiliko yapi kwenye ushindani wa ligi yetu? Ewe mdau wa soka la Tanzania, umeona mabadiliko?
3 Reactions
33 Replies
846 Views
To the one who makes every day sweeter than the last.... The most amazing, funny, and sometimes infuriating person I know... You're not just my love, you're my best friend, my confidant, and my...
7 Reactions
31 Replies
201 Views
Tuna bidhaa za majumbani na ofisini tupo Kariakoo Msimbazi karibu na DDC hall (manyema St.) tuna fanya free delivery ndani ya Dar es Salaam pia tuna tuma mikoa yote Tanzania kwa umakini ulio...
29 Reactions
4K Replies
924K Views
Rasmi, Simba imeangukia Kombe la Shirikisho barani Africa ambalo wenzao Yanga walifika Fainali na kuukosa ubingwa kwa kanuni! Sasa ni kipimo kwa Simba kutuonyesha namna kombe ilo lilivyo jepesi...
17 Reactions
35 Replies
952 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,164
Posts
49,739,323
Back
Top Bottom