Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habarini jamani..Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo Kwa sasa ni mke wa mtu...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini. Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul...
1 Reactions
60 Replies
1K Views
Mambo mengi yanayoendelea kwenye Serikali ya Awamu ya sita mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne. Mfano uteuzi katika nafasi mbalimbali sura nyingi ni zile...
11 Reactions
59 Replies
2K Views
  • Poll
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
77 Reactions
5K Replies
267K Views
Wafanyabiashara wa vifaa vya michezo, tunayo furaha kubwa kuwafahamisha kuwa sasa tuna msambazaji (Supplier) wa jezi original zenye ubora wa hali ya juu kutoka timu mbalimbali maarufu za Ulaya na...
0 Reactions
8 Replies
87 Views
Wakuu zamani vijana wengi wa kikatoliki moja kati ya ndoto zetu ilikuwa ni kuwa Mapadre. Mimi binafsi nilijichanganya sana Huko Rombo, parokia ya Mkuu wakati huo nilikuwa napenda sana Shirika la...
10 Reactions
78 Replies
1K Views
Sehemu ya Pili: Changamoto na Ahadi Baada ya usiku huo wa kimapenzi, maisha ya Musa na Amani yalionekana kuwa kwenye mstari wa furaha. Walijitahidi kutenga muda wa kuwa pamoja licha ya majukumu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kiwanja kipo Kimara Temboni Barabara ya kwenda Matosa Ukubwa ni square meter 1,200 Bei ni sh. 100,000,000/= (Milioni mia moja) Maongezi yapo kwa mteja serious Kipo jirani na Kanisa katoliki...
0 Reactions
20 Replies
101 Views
Kwa sasa hali ya hewa ndani ya Simba sc aipo sawa baada yakuibuka madai tofautofauti juu ya Muwekezaji wao Mo Dewji kuidai Simba pesa zake ambazo alikuwa anazitoa nje ya mkataba wake wa uwekezaji...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Afande IGP Wambura, Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni ,taratibu na tamaduni mbalimbali zilizopo. Iweje Leo watu waamue tu kuwaibia Watanzania wenzao na ninyi...
1 Reactions
5 Replies
112 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,906
Posts
49,845,262
Back
Top Bottom