Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Unakubaliana na huyu mdau kwa kiasi gani.
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Habari wanaforums, naomba kujuzwa Data au MB zinatengenezwa wapi, haiwezekani mtu yeyote kitaa akazitengeneza kimagendo?
11 Reactions
21 Replies
262 Views
Waziri wa Ardhi Jerry Silaa amewapiga marufuku wenyeviti wa mitaa na Vijiji kuuza Ardhi na kwamba kuanzia Sasa kazi hiyo itafanywa na Afisa Ardhi na Kampuni za Upimaji tuu. Aidha bwana Silaa...
23 Reactions
107 Replies
9K Views
Usiku wa jana kulifanyika hafla ya utoaji Tuzo za Wanamichezo bora mwaka 2023 katika ukumbi wa The Super Dome Ifuatayo ni orodha ya waliobeba tuzo za wanamichezo Bora mwaka 2024 1.Timu bora ya...
1 Reactions
8 Replies
9 Views
Wakuu zamani vijana wengi wa kikatoliki moja kati ya ndoto zetu ilikuwa ni kuwa Mapadre. Mimi binafsi nilijichanganya sana Huko Rombo, parokia ya Mkuu wakati huo nilikuwa napenda sana Shirika la...
9 Reactions
76 Replies
1K Views
Habari wapendwa. Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife. Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa. Mama is on the move daily. Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro. Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule. Kweli ni...
42 Reactions
181 Replies
10K Views
This is too much tukutane 2025...hii barabara itatoka na mtu kwenye kiti. Haiwezekani ukanda huu tuzalishe 1. Chai 2. Karatasi 3. Mbao 4. Kahawa 5. Hardboard 6. Pareto 7. Parachichi 8. Nguzo za...
3 Reactions
7 Replies
121 Views
kitu gani hukufanya ujiskie kero au ujiskie vibaya ukiwa humu jukwaani, achilia mbali maoni na mitazamo tofauti na yako kutoka kwa miongoni mwa wana JF 🐒
0 Reactions
2 Replies
3 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,836
Posts
49,843,184
Back
Top Bottom