Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Heshima sana wanajamvi, Nimekuwa na utaratibu wa kutembelea hifadhi zetu za wanyama kwa muda mrefu sasa labda huu ni mwaka wa 10 au zaidi. Nimetembelea hifadhi ya Serengeti zaidi ya mara nne au...
3 Reactions
2 Replies
3 Views
Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee. Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu. Jana...
15 Reactions
44 Replies
459 Views
Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh...
10 Reactions
63 Replies
1K Views
MAZUNGUMZO GROUP LA WATSUP LA CHAMPIONS LEAGUE Semaji Mamelod : Mnyamaaa 😭😭 Semaji Al Ahly : Pacha naumia sana kwa ajili yako Semaji Mazembe : Jirani tutakumic sana Champions League Mimi...
2 Reactions
4 Replies
173 Views
Wanaume sahihi hatupati wake sahihi , wake sahihi hawapati waume sahihi 😃 Dunia ngumu hii .. hivi kwanini watu sahihi huwa hatukutanagi . Nahisi shetani ana mkono wake katika hili. Unaona dada wa...
15 Reactions
57 Replies
781 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
383K Replies
11M Views
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuwa hawataki ndani ya viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya Sasa CHADEMA. Inasemekana kuwa Mbowe...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Balozi Dr Emmanule Nchimbi kama mwanasiasa mbobevu ndani na nje ya Tanzania sikutegemea kama angefanya matukio ya kuigiza kwenye kila anachodai ni kusikiliza kero za Wananchi. Kwanza ifahamikw...
5 Reactions
34 Replies
682 Views
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu? Inasemekana shetani ni mbaya kama alivyotukalilishwa na Mungu lakini...
6 Reactions
71 Replies
604 Views
Wengi tunazijua gari zinazotumika kwenye mashindano ya FIA, especially ya Formula 1. Magari na team kama Ferrari, Mercedes Benz, nk yanaonesha uwezo wao. Vile vile madereva wa hayo magari, kama...
37 Reactions
52 Replies
908 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,888
Posts
49,758,836
Back
Top Bottom