Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanaukumbi. 🇮🇱🇱🇧 Hapo jana Israel walisema wanaelekea kwenye uamuzi wa kuivamia Lebanon, leo Hezbollah wamerusha roketi kwenye kituo chao na kuua na kujeruhi makumi ya wanajeshi. Wakati huo...
4 Reactions
92 Replies
2K Views
Niandike nini hapa, zaidi ya kukutaka utafute pesa kwa njia zote isipokuwa kuvunja kanuni za maisha?.
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Niliweka mada jana hapa kuhusiana na matumizi ya intaneti kwa mitandao ya kijamii inavyoathiri vijana. Leo sitauma sana. Nikasema, intaneti isishushwe gharama bali zipande maana kwa mitandao hii...
0 Reactions
2 Replies
7 Views
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu....Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi Tokea siku zote hizo ni jana wameokoa mateka wanne tu tena kwa msaada wa Delta force...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Leo nimekuja kushare nanyi hii story ofcourse ni muda iko moyoni mwangu ila nimeamua kushare nanyi ili mjue kwa nini kila siku mimi mtu wa kubadilisha wasichana, Ni hivi miaka Saba Nyuma wakati...
48 Reactions
129 Replies
15K Views
Wanawake ni viumbe vya hisia. 90% ya matendo yao yanaendeshwa na hisia zao. Ndio maana watachukua hatua kila wakati kabla ya kufikiri na baada ya kusababisha uharibifu mwingi, watakuja kuomba...
14 Reactions
67 Replies
735 Views
Humu wapo members Wana likes 1000 ambazo kiuhalisia zingekuwa pesa zingeweza kununulia vocha ya buku. Wengine wana likes mpaka milioni 1 huko ambazo zingeweza kununulia smartphone kali. Mimi...
4 Reactions
15 Replies
100 Views
Au chadema au lisu wameona watanzania hawana reasoning capacity wakaona waanze kiwadanganga baada ya kuona mama anafanya kazi zinazogusa kila mtu. Ndo mana jpm alitaka kliua mana ni liongo na lijuaji
0 Reactions
7 Replies
12 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
44 Reactions
52K Replies
3M Views
Mchungaji Peter Msigwa ameendelea kurusha jiwe gizani. Safari hii anawapa somo vijana walioingia juzi kwenye siasa wajue tofauti ya chama na mtu. Siku si nyingi chama cha familia kitamrushia...
0 Reactions
14 Replies
204 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,581
Posts
49,834,790
Back
Top Bottom