Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Au chadema au lisu wameona watanzania hawana reasoning capacity wakaona waanze kiwadanganga baada ya kuona mama anafanya kazi zinazogusa kila mtu. Ndo mana jpm alitaka kliua mana ni liongo na lijuaji
2 Reactions
43 Replies
119 Views
Greetings fam. As a Tanzanian, can one seek for asylum for being an atheist/deist?
2 Reactions
26 Replies
237 Views
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu....Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi Tokea siku zote hizo ni jana wameokoa mateka wanne tu tena kwa msaada wa Delta force...
1 Reactions
2 Replies
9 Views
Hello! Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara. Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine...
28 Reactions
103 Replies
2K Views
Rafiki yangu mpendwa, Nimekuwa napenda utajiri tangu nikiwa mtoto mdogo. Nakumbuka niliwahi kumwambia mama yangu kwamba kwenye maisha yangu lazima nitakuwa tajiri. Alicheka na kuniambia ni utoto...
31 Reactions
108 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Hii ni makala yangu ya wazi kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan Shujaa wa Afrika,Nuru ya wanyonge,Nyota...
4 Reactions
48 Replies
320 Views
Waambieni huko Chang'ombe kiwandani Serengeti beer, sticker mpya za chupa za beer yenu hazipendezi. Sasa hivi chupa hiyo ya sticker ya njano utafikiri kifungashio cha togwa! Kiwanda cha...
15 Reactions
72 Replies
1K Views
Nimefanya kilimo cha parachichi kwa miaka nane sasa, nilichokiona ni haya; 1. Kilimo kina mzunguko wake ni mdogo parachichi huzaa kidogo kidogo kadri miaka inavyoenda, unatumia million 10 unapata...
64 Reactions
180 Replies
16K Views
Wanawake ni viumbe vya hisia. 90% ya matendo yao yanaendeshwa na hisia zao. Ndio maana watachukua hatua kila wakati kabla ya kufikiri na baada ya kusababisha uharibifu mwingi, watakuja kuomba...
14 Reactions
71 Replies
799 Views
Kwakweli nimechanganyikiwa, wanajamvini nisaidieni Mimi masikini, nafanya ujenzi lakini nahitaji vitu Bora na vya kipekee lakini uwezo wangu mdogo. Sasa kama ilivyo sisi watanzania na dunia nzima...
0 Reactions
3 Replies
46 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,587
Posts
49,834,988
Back
Top Bottom