Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Anachokifanya mchina sasa, USA amekifanya miaka 50 iliyopita. Juzi wanashangilia chombo Chao kutua kwenye ardhi ya mwezi, USA alishafanya hayo miaka ya 60s. Mwakani au 2026 anataka kupeleka...
0 Reactions
11 Replies
227 Views
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana! Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata...
13 Reactions
320 Replies
28K Views
Hi jf! Mm hua nafatilia sana comments za humu jf, kuna watu (great thinkers) wanapost vitu vyenye mashiko na vya kuelemisha na kukosoa mtu mmoja mmoja or society at large, eg. Kuna post nmeona...
3 Reactions
40 Replies
2K Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
61 Reactions
159 Replies
6K Views
Miaka mnne nyuma nilizaa na mdada wa kimachame kiukweli nilimpenda sana baada ya kumaliza masomo niliamua kukaa naye cha kushangaza akaanza kutembea na jamaa zake yaani wachagga wenzake...
1 Reactions
188 Replies
11K Views
Habari za holday wanaJF! Hope mnaendelea vizuri na kazi zenu... naombeni ushauri wenu........ Jamani mimi nina rafiki yangu kipenzi ambaye ananiwazisha sana kwa hali aliyo nayo maana...
5 Reactions
202 Replies
15K Views
Mi mkristo ni miaka 5 tangu nifunge ndoa na mke wangu. Ni Mwezi 1 tangu huu mkasa kunipata. Nilisafiri kibiashara na niliaga kuwa sitarudi kwa siku tatu mbele (nikawaida yangu ninapokuwa na...
1 Reactions
157 Replies
13K Views
Moja ya utamaduni wa ajabu tuliokopi ingawa sijui tumekopi wapi ni wa yule kijana anayetqrajia kuoa kuingia au kuwa na kipindi kwenye sendoff. Yaani watu wamekusanyika kumuaga binti yao na kumpa...
6 Reactions
10 Replies
193 Views
Binti huyu ameajiriwa kuuza duka la dada mmoja jirani na ofisini kwangu, anaonekana anajiheshimu na anaonekana mcha mungu, mimi binafsi nlishatendwa na niliyekuwa naye hivyo nimechoka na haya...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Habarini za asubuhi wakuu , Samahani naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa magari na wengine ni mafundi mtoe ushauri hapa. Toyota brevis ni gari ambayo imesemwa maneno mengi na tunajua uzalishaji...
4 Reactions
56 Replies
776 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,762
Posts
49,840,649
Back
Top Bottom