Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Aisee hawa wanawake ni hatari. Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa...
86 Reactions
246 Replies
9K Views
Hakika tunaoishi kwa matumaini ya kusubiria ajira tunapitia changamoto sana asee, yani mimi ni wakupewa kibarua na mtu aliyeacha shule darasa la 5, hiki hakijaniuma sana kilichoniuma ni maneno...
15 Reactions
40 Replies
513 Views
Kuishi na mwanaume anayejua mapenzi huwazi sex kila mara ila unawaza mume wako atarudi saa ngapi akupe utramu wa hali ya juu. Kuna tofauti ya sex tu na haja zikatimizwa kibabe na ule utamu...
8 Reactions
71 Replies
837 Views
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani, rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump amefungua akaunti ya TikTok, ili kuwavutia wapiga kura vijana, na kufanya maandalizi kwa ajili ya uchaguzi...
3 Reactions
10 Replies
483 Views
=== David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya, Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia...
18 Reactions
135 Replies
1K Views
Moja ya vitu ninajivunia hapa duniani ni watu. Nina marafiki kadhaa ambao kwakweli tunarahisishiana maisha kwa kiasi kikubwa. Ni marafiki tuliojuana kwa miaka kadhaa na tunapigana tafu. Si urafiki...
5 Reactions
42 Replies
958 Views
Japo mimi siyo mpenzi wa Simba SC Lakini nimemuelewa sana Gonzalez Alichoongea ndio Ukweli Wenyewe huku Siasani --- Kweli watu wanalipwa kupost picha za mtu kazini? Watu wazima kabisa wanakaa...
3 Reactions
16 Replies
490 Views
Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni...
32 Reactions
245 Replies
45K Views
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-poised-to-enter-booming-graphite-market-with-bunyu-project-launch-4651552 Tanzania poised to enter booming graphite market with Bunyu...
0 Reactions
2 Replies
27 Views
Karibuni Wana jF Mimi kama dalali kijana nakuja kwenu na offer kubwa ya altezza inayohitaji million 7 tu na ipo katika clean condition
1 Reactions
9 Replies
86 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,465
Posts
49,831,019
Back
Top Bottom