Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanaukumbi. ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ง Hapo jana Israel walisema wanaelekea kwenye uamuzi wa kuivamia Lebanon, leo Hezbollah wamerusha roketi kwenye kituo chao na kuua na kujeruhi makumi ya wanajeshi. Wakati huo...
3 Reactions
71 Replies
2K Views
Ufike wakati makampuni ya Ving'amuzi wafanye utafiti kwenye biashara zao, kwanini watazamaji wa Televisheni wanapungua? Huwa najiuliza mbona baadhi ya makampuni yanayotoa huduma za Internet...
3 Reactions
15 Replies
213 Views
Ndiye huyu sasa!Ukifika Tabora karibu sana Urambo.
8 Reactions
71 Replies
3K Views
Mfumo wa Ajira Nchini kwetu umeshindikana kabisa hasa kwa tusio na Koneksheni kabisaa! Mfano: nimewahi kuitwa kwenye interview nyingi tu za serikalini ila zote zinafanywa kwa ushahidi tu ili wale...
10 Reactions
38 Replies
957 Views
Mji wa Same ni mdogo sana ila inashangaza ndani ya wiki tatu zilizopita zimeibiwa TV nyingi sana, je, zinakwenda wapi? Au zinauzwa wapi? Maeneo ya Sterling na Stesheni kwa mfano zimeibiwa TV nne...
0 Reactions
13 Replies
157 Views
Lots of praises and congrats have been waved to general Mabeyo since the public was notified for his retirement till today. Yes he deserves some, but not as much as it is exaggerated by praise...
8 Reactions
43 Replies
4K Views
... ๐Ÿ—ฃ๏ธ ๐—•๐—”๐—•๐—ฅ๐—” - ๐—ช๐—”๐—ง๐—จ ๐—ช๐—”๐— ๐—˜๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ช๐—” ๐—ฃ๐—˜๐—ฆ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—˜๐—ก๐—š๐—˜๐—ก๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—”๐—š๐—”๐—ก๐——๐—”. "Propaganda zilizofadhiliwa zimefikia hatua ya kuchukiza sana kama vita za kisiasa. Kwani hatuwezi kuona kikamilifu nyuma ya hii...
2 Reactions
5 Replies
292 Views
Vita vya Ukraine vilianza kwa ushawishi wa Marekani kwa raisi wa Ukraine mpaka vita vikaanza kupiganwa. Tangu vita hivyo vianze mwezi Februari 2022 Marekani kipekee imetoa misaada ya kila aina...
7 Reactions
107 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Wafuatiliaji wa siasa za Nchi hii mtakubaliani nami kuwa Mheshimiwa David Kafulila pamoja na Mheshimiwa Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaubeba Upinzani hasa...
0 Reactions
8 Replies
53 Views
Habari zenu wapambanaji Leo niko mbele yenu kutaka ushauri wa kimawazo kutoka kwenu ndugu zangu. Niko kwenye mpango wa kuingia kwenye kilimo kwa kumanisha hasa. Nina bajeti ya kiasi cha Tsh. 5M...
1 Reactions
5 Replies
49 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,289
Posts
49,825,307
Back
Top Bottom